Shunie: The thread is special for you.

Shunie: The thread is special for you.

Naunga hoja mkono.

Kipindi sijazoeana naye humu, tuliwahi kukwazana kwenye uzi fulani. Baada ya kuwa nimemsoma na kugundua alichonacho kichwani nikamkubali pia nikamkumbusha sehemu tuliowahi kukwazana, akakumbuka na akakiri, tukacheka tukafurahi na tukasameheana.

Shunie ni mdau wangu sana humu jamvini!!
Ni mtu wa watu asiyependa dharau
 
Back
Top Bottom