Shunie: The thread is special for you.

wasalaam wakuu.
huyu mwanamke mwa huku Jf amekuwa akininyima usingizi
hasa pale ninapoona AVATAR yake wakuu
naombeni kama leoo hajaenda kanisani asogee karibu walai tupige story
huenda ikanisaidiaa wakui
Naombeni kuwasilishaa....
numefurahii kuona like ya shunie sasa nasubiri aweke neno
 
wasalaam wakuu.
huyu mwanamke mwa huku Jf amekuwa akininyima usingizi
hasa pale ninapoona AVATAR yake wakuu
naombeni kama leoo hajaenda kanisani asogee karibu walai tupige story
huenda ikanisaidiaa wakui
Naombeni kuwasilishaa....
Mkuu pole sana kwahiyo hulali kwa ajili yangu ni hizi avatar fake ndio zinakuchanganya hivi halaf nilijua huu uzi wa siku zote kumbe huu wa leo mpya aahhahah mods sio watu wazuri kabisa wakaunganisha asante sana kwa kunipenda barikiwa mnooo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa tujichunguze niniii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…