GJHariohay
JF-Expert Member
- Oct 24, 2013
- 1,041
- 1,160
- Thread starter
-
- #141
Hahahahaa mkuu ongea nae naona anaruka comments zangu, huyu mrembo kwake nimejikuta sina haliSoma mstar wa mwisho hapo mdogo wangu uone
Bonny nakugawa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Sio kwamba nakanusha inawezekana sehem ya wowow mie bado hajaamua na mim niione
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kule bado yupoo ila kashapewa warningAligawika au alishindikana?
AhahahaaaaaaSio kwamba nakanusha inawezekana sehem ya wowow mie bado hajaamua na mim niione
Mbali na kukusifia amejieleza wazi kuwa anakupendaHivi kwani kanidondokea au amenisifia tu kaka bonny
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Sawa shunie mawowowo
Pambana mkuuAiseeeee hili suala kuendelea kuwa single inabidi nilipatie uvumbuzi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakuja shunie yule unayemjua hivi umesahau zawadi yangu jaman ya hela au imeyeyukaHa ha ha ha hv kumbe unanidai nilisahau nweis uje uchukue badae ila uje na liwowowo lako ha ha ha ahaaaaa
Sakayo apambane na T wake tu hakuna namnaKazi hipo kweliiii ....sakayo hasijaribuu kabisaa
Kweli msiharibie jamani dada yanguAnaniharibia mwambie akae kimya tu
Bamdogo na wewe tenaNa inahitaji moyo kweli sie wenye mioyo isiyo na choyo ndiyo twafaa kulea watoto weupe wenye vyura kama hawa.
Basi poa furahia uwepo.
Pole dadaPm yangu ipo wazi siku zote sema tu wanakera tu wazee wa salaam wanasalimia hao kwa siku hata mara 10 si waende radio one wakatume salaam sio kujaziana pm
Mkuu eti unanipenda yaan ni kimapenzi me najua unanipenda tu kama hivyo kufatilia ninachopostHahahahaa mkuu ongea nae naona anaruka comments zangu, huyu mrembo kwake nimejikuta sina hali
haha huu ndiyo ugonjwa wangu bwana sema ukanizidia nikajikuta nimeugua kusikokawaidaIla mzee unajua kulea aisee mpaka mtoto anakua na chura unamuangalia tu itakuwa sio ugonjwa wako kabisa
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8] me pia Demiss wangu sema unaniudhi kitu kimoja kutomfungukia yuleeee yuleee si umejua eenh mfate pm anza kumzoea kwa salaam niniii mengine yatajileta usije ukakufwa na utamu wakoChaurembo [emoji177][emoji177][emoji177][emoji177]nakupendaga tu