Shunie: The thread is special for you.

Najua ndio mambo anayopenda rafiki yangu namwambia kabisa nina chura avatar ya miss natafuta inisubiri mara 2
Behaviourist huwa ananichekesha sana kuulizia Wowowo kila mara, nikimkuta hasa MMU lazima nimtanie kwa kumkumbusha [emoji196] [emoji196] [emoji196] kama ipo au la.

Akiona hivyo anacheka sana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakuja shunie yule unayemjua hivi umesahau zawadi yangu jaman ya hela au imeyeyuka
Ha ha ha ha hv nilikuhaid enhee ila mashart yalikuwa meng sana ile siku ila hakijaharbika kitu embu malizna na mtoa mada hapa huwez jua unaweza ukakuta umeanza mwaka kwa neema sio kwa ujasir huu alioufanya
 
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8] me via Demiss wangu sema unaniudhi kitu kimoja kutomfungukia yuleeee yuleee si umejua eenh mfate pm anza kumzoea kwa salaam niniii mengine yatajileta usije ukakufwa na utamu wako
mmmmmh
 
Ha ha ha ha hv nilikuhaid enhee ila mashart yalikuwa meng sana ile siku ila hakijaharbika kitu embu malizna na mtoa mada hapa huwez jua unaweza ukakuta umeanza mwaka kwa neema sio kwa ujasir huu alioufanya
Hapana aisee nimeshamalizana nae hapa nimemshkuru nimemjibu vizuri Mungu azidi kumbariki nampenda pia
 
[emoji23][emoji23][emoji23]eti waende radio one[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] namtumia salaam Shunie wa JamiiForums namtakia kila la heri na baraka katika mwaka huu mpya wa 2018. Ujumbe: tutakula au fitina!? lol!

Pm yangu ipo wazi siku zote sema tu wanakera tu wazee wa salaam wanasalimia hao kwa siku hata mara 10 si waende radio one wakatume salaam sio kujaziana pm
 
Mkuu eti unanipenda yaan ni kimapenzi me najua unanipenda tu kama hivyo kufatilia ninachopost
Hii Thread ni special kwa ajili yako mamaa, yote yapokee kwa mikono miwili but wahenga walisema aisifue mvua imemnyea,karibu sana mrembo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…