Shunie: The thread is special for you.

Shunie: The thread is special for you.

Ngoja baadae kidogo nitarudi rasmi tuzungumze, sasahivi nipo busy kidogo nashughulikia swala la shunie nimeagizwa na shemej yangu [emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Shem upendo wangu kwako haupoi hata siku mojaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka kwa sauti hivi umeharibu wapi lakini nilivyoona hiyo avatar tu nimehisi ni wewe
Sijajua hata hata mimi nimejishangaa tu nimeshakua broker mkuu
 
Kama kichwa cha habari ilivyoeleza, naomba nitunuku hili jamvi leo kwa mrembo ninaempenda sana humu Shunie. Namkubali sana, kila siku lazima nipitie comment yake humu, siawahi kuwasiliana nae PM wala sikumbuki kama nimewahi kuquote comment yake but hayo yote hayana maana kuwa hana thamani kwangu. Mrembo Shunie popote ulipo ujue una mtu anakupenda mno.
Ulianza kutangaza nia ya kugombea ubunge nasikia wananchi walikusubiri mpaka visigino vikaota machacha
IMG_20180112_221005_756.jpg


Ukaja tena na swaga za kutafuta mchumba sijui ulipata


IMG_20180112_221205_774.jpg


Juzi umesema tena unatafuta kazi ya uhasibu ,duu Leo mara ooh unampenda shunie

Unamjua huyo unaye mpenda au umependa jina kama ulivyokuwa unaota ndoto za kuokota ubunge chini ya mkorosho
IMG_20180112_221458_311.jpg
 
Ulianza kutangaza nia ya kugombea ubunge nasikia wananchi walikusubiri mpaka visigino vikaota machachaView attachment 674148

Ukaja tena na swaga za kutafuta mchumba sijui ulipata


View attachment 674149

Juzi umesema tena unatafuta kazi ya uhasibu ,duu Leo mara ooh unampenda shunie

Unamjua huyo unaye mpenda au umependa jina kama ulivyokuwa unaota ndoto za kuokota ubunge chini ya mkoroshoView attachment 674150
Haya yote yanakusaidia nini? Mengine we are doing for funny, like kuna kitu kimekuuma mkuu, whats wrong??
 
Embu tupen mrejesho wakuu mmefikia wapi? je tuanze kupanga tarehe ya harusi?

Kama kuna harusi mniambie nitaanza kusanya michango kule jukwaa la siasa...wengine watakusanya majukwaa mengine!!
 
Ulianza kutangaza nia ya kugombea ubunge nasikia wananchi walikusubiri mpaka visigino vikaota machachaView attachment 674148

Ukaja tena na swaga za kutafuta mchumba sijui ulipata


View attachment 674149

Juzi umesema tena unatafuta kazi ya uhasibu ,duu Leo mara ooh unampenda shunie

Unamjua huyo unaye mpenda au umependa jina kama ulivyokuwa unaota ndoto za kuokota ubunge chini ya mkoroshoView attachment 674150
Uzi wa kumpenda Shunie na hayo mengine uliyoanza kuyachimbua yanahusiana na nini, hizi ni tabia za kike, you dont know me real, muulize hata huyo Shunie kama nimeshawahi mfuata pm, this is social media, you are lost mkuu. Akili zako ni za kitoto sana, usiumie kwa mambo usiyoyaelewa. Kunywa maji ya baridi
 
Ulianza kutangaza nia ya kugombea ubunge nasikia wananchi walikusubiri mpaka visigino vikaota machachaView attachment 674148

Ukaja tena na swaga za kutafuta mchumba sijui ulipata


View attachment 674149

Juzi umesema tena unatafuta kazi ya uhasibu ,duu Leo mara ooh unampenda shunie

Unamjua huyo unaye mpenda au umependa jina kama ulivyokuwa unaota ndoto za kuokota ubunge chini ya mkoroshoView attachment 674150
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu ebu mwache anipende tu hakuna namna kwahiyo ubunge amepata jaman nikuwe mke wa mbunge shunie mimi
 
Back
Top Bottom