Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Hakuna harusi kwangu nafasi imejaaEmbu tupen mrejesho wakuu mmefikia wapi? je tuanze kupanga tarehe ya harusi?
Kama kuna harusi mniambie nitaanza kusanya michango kule jukwaa la siasa...wengine watakusanya majukwaa mengine!!