[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] geni mbavu zanguchinjikuchinjilanaaa*2
aliyekula donaaa...
na nguru wa kuchomaaa...
do do do salaleeee!!!
Nianzishie na mimi uzi basssNgoja nmwite ivuga huku akome kukusumbua
Saint Ivuga njoo huku umwone shunie
nipe nipeee....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] geni mbavu zangu
Wazo lako nitalifanyia kazi Dada yanguUtampata kaka jose jaman
....na tusipoufinya ubeche wao ujue mayai viza yatakuhusu nyakanga![emoji3] [emoji3] [emoji3] sawaa...ila mwari wa mtu huyu tayariii
Ukitangaza nia ya ugombea huwezi kosa wadhamini mkuuDaah mkuu majanga...ngoja nitaanzisha na mimi kathread ka kumtafuta " Hawa" sijui nitampata?? kwa maana huu usingo noma sana
Sent from my iPhone 5s using Tapatalk
Poa aisee kamanda ngoja mambo yakae sawaUkitangaza nia ya ugombea huwezi kosa wadhamini mkuu
Ahahha wakulipe we si ulishawaandikiaNianzishie na mimi uzi basss
Nyakanga nimepata mimi ujue jaman geninipe nipeee....
nikikupa utalewaaa....!!
mume ataka malezi sio mapenzi ya kishenzii...bibieee!!!
Nimejikuta nacheka jaman eti me ndio nimempiga sound sijui ulifkilia nini mkuu asante sanaMkuu unaona ulichoandika kina fana na uzuri wake kweli na wasi wasi yawezekana yeye ndie alie kupiga saund.BTW awe wako rasmi sasa mkuu.
mafisadi hayana chama
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....na tusipoufinya ubeche wao ujue mayai viza yatakuhusu nyakanga!
PoaPoa aisee kamanda ngoja mambo yakae sawa
Sent from my iPhone 5s using Tapatalk
Ameen nakuombea kaka ake umpate wa kufanana naeWazo lako nitalifanyia kazi Dada yangu
Sent from my iPhone 5s using Tapatalk
tatizo hilo mamaaa....sisi wa pwani tuna vyetu vya haibaUsungo haujawahi muacha mtu salama kabisa mtoto wa kike unatakiwa uwe na siri vya ndani vinabaki ndani sio uliyofanya yote chumbani unakuja kuyamwaga hadharani
is up to u....[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Mkuu,
Tupunguze kuzurura jukwaa la siasa. Tupige kambi MMU.
The world is moving so fast, and we seem to be left behind!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
- KANA -
Amen amenAmeen nakuombea kaka ake umpate wa kufanana nae
Umemaliza nyakanga wa shunie kaka bonny kama anapita kimya kimya kama namuona anavyocheka ujuetatizo hilo mamaaa....sisi wa pwani tuna vyetu vya haiba
utoe vya ndani umtangazie nani shuniii...
nna wangu mimi mzungu mswahili wa Saku...
hakuna asievijua sote tu watu wazima yatupasa kujihifadhi na wenza wetuuu
sent from motorola bapa and nokia jeneza
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji85] [emoji85] [emoji85] nyakanga ntakua nimefeli na ukungwi basi miyeee.......na tusipoufinya ubeche wao ujue mayai viza yatakuhusu nyakanga!