Shunie you're my everything...

Shunie you're my everything...

Status
Not open for further replies.
Usungo haujawahi muacha mtu salama kabisa mtoto wa kike unatakiwa uwe na siri vya ndani vinabaki ndani sio uliyofanya yote chumbani unakuja kuyamwaga hadharani
tatizo hilo mamaaa....sisi wa pwani tuna vyetu vya haiba
utoe vya ndani umtangazie nani shuniii...
nna wangu mimi mzungu mswahili wa Saku...
hakuna asievijua sote tu watu wazima yatupasa kujihifadhi na wenza wetuuu

sent from motorola bapa and nokia jeneza
 
Mkuu,

Tupunguze kuzurura jukwaa la siasa. Tupige kambi MMU.

The world is moving so fast, and we seem to be left behind!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

- KANA -
is up to u....[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]

sent from motorola bapa and nokia jeneza
 
tatizo hilo mamaaa....sisi wa pwani tuna vyetu vya haiba
utoe vya ndani umtangazie nani shuniii...
nna wangu mimi mzungu mswahili wa Saku...
hakuna asievijua sote tu watu wazima yatupasa kujihifadhi na wenza wetuuu

sent from motorola bapa and nokia jeneza
Umemaliza nyakanga wa shunie kaka bonny kama anapita kimya kimya kama namuona anavyocheka ujue
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom