Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbe mwari wangu wajua eeeeehhh...kua kuna wasungooo...Sitakuangusha nyakanga wangu ya uvunguni ya uvunguni wanaotoa vya uvunguni kibarazani hao si unajua tunawaita msungo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wivu unamsumbua ujue Antoniowewee imba tu ngoja ntie biti la kifilipiinooo[emoji3]
...nimekubali!Mwache mzee baba na swaga zake Upiversity sio lazima wote mfanane mkuu
Hahaha naona unakodoa tu hapoAmbao hatuna wapenzi humu tujikaze na tupambane na hali zetu hamna namna...
Sent from my Apple iPhone 5s using JamiiForums Auto-reply Mobile app
Ndio mana nimekwambia nyakanga wangu sitakuangusha ya nje tutakua tunaongea mambo yetu ya uhenga ujuekumbe mwari wangu wajua eeeeehhh...kua kuna wasungooo...
sasa nataka ujifunze kutia maji kinywaaa..mda woteee!!!ili usipate ongea ya ndani kwenuu
Sawa Dada [emoji56][emoji56][emoji56]Kabisa kaka jose pambaneni tu na hali zenu
utafanyaje sasa mkuu..inabidi tu ukodoe macho tu [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Hahaha naona unakodoa tu hapo
ngoja vifuti aiseeehhhh na mangumiii!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kaka bonny anamuonaga kwa mbali hatujawahi mtambulisha ujue
Asante...nimekubali!
.,kweli alalae usimuamshe!
...una akili sana!
Nilikuwa nafanya warm up ili nijitose kwako,kumbe ushawahiwa!Ahhahah umeanza
Wavuvi warudi mbio,na vyombo vimegongana,kuna papa usingizi jitahadharini vijana,papa limetoa penzi na mawimbi linatawanya,vidagaa na mkizi leo mtaliwa mnaona [HASHTAG]#pwani2pwani[/HASHTAG] Shunie upoootena utulieee...sisi wa pwaniii!!!kuna msondo sie kwetu!!wafundwa mamaaaa...kimyaaaa!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kaka bonny ukuje basingoja vifuti aiseeehhhh na mangumiii!!
[emoji3] [emoji3] [emoji3] eeehh!nataka tuone umuhimu wa unyago na nyakanga kwako...maana usungo haujawahi muacha mtu salamaa...Nitatulia dada geni jaman siwezi waangusha kabisa nawakilisha taifa letu ujue
...nikaushie basi nyakanga![emoji85] [emoji85] [emoji86] [emoji86] [emoji134] [emoji134] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]looohh
sent from motorola bapa and nokia jeneza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...nikaushie basi nyakanga!
.uzi umehamia chit-chat!
hapo tutaelewana hata makaburi hayatafukuliwa tenaNdio mana nimekwambia nyakanga wangu sitakuangusha ya nje tutakua tunaongea mambo yetu ya uhenga ujue
Nami mmojawapo,uwa sichezi mbali na pm ya bibieWachache mkuu
pole sana...ulileta zile za muazima jamvi [emoji3] [emoji3]Nilikuwa nafanya warm up ili nijitose kwako,kumbe ushawahiwa!
Usungo haujawahi muacha mtu salama kabisa mtoto wa kike unatakiwa uwe na siri vya ndani vinabaki ndani sio uliyofanya yote chumbani unakuja kuyamwaga hadharani[emoji3] [emoji3] [emoji3] eeehh!nataka tuone umuhimu wa unyago na nyakanga kwako...maana usungo haujawahi muacha mtu salamaa...