Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
[emoji3][emoji3][emoji3]Pole sana best [emoji2] [emoji2]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3]Pole sana best [emoji2] [emoji2]
Asante dada ake tunakupenda sana unalijua hilo jaman ahhahah kuishia vichakani vipiiiHongeraa mdogo wangu... Naomba tu nicheze kwaito msije ishia vichakani....
Nawapenda
Nitaweka wapi uso wangu mie jaman nije kudhalilishwa kama nawaona wazee wa kuliamsha dudeameeen ameenn
mwanaume kifua kabisa. masuala ya kuja kudhalilishana hapa hatuyataki na tutampeleka kwa kaka zetu wampe somooo
Kama nakuona dadaHongeraa Lee ila isiwe maigizo ya jf.... Tutakosana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Nina salam zakoo
Kutoka kwa nani
Nakujuaa utaninyongaaaaa
Wapandwe mkuu hakuna namnaSi umfuate pm tu ndugu haya yakuaniaka jukwaani kuna watu wanapandwa na hasira, na wivu
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliandika mdogo wangu
Hahaha
Shunie ukuje huku
Mimi nawachora yeye na shem wakee
Wee ni chizi ujue.... Mdogo wangu hakulala kwa furaha kumbe ni utani eeh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akuu
Unaijua jf wewe lakini....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Polee ya nini
Kaniambia yote mkuu
Ujue jana sijalala kweliUtani wenye ukweli ndani yakee
[emoji3][emoji3][emoji3] wazee wa kufukua makabuli woiiiiWatu wa jf sio wa sport sport ujue... Ukiandika uzi wafwaaa haufutiki mpaka ubadili id....
Vyovyote mkuu utakavyojisikia jaman
Ahhhaha tamu halaf umebadili avatar nimekusahau jaman pole kwa kuumwa moyo na yeye anayo mashine ujueShunie yameanza lini haya?
Moyo unauma hapa ujue,au kwa kuwa me masikini?
"Mwanaume mashine lakini ujue"
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chit chart
Weee
Sidanganyikiii
Naona mkuu kule jukwaani haitoshi umeamua kuja na uzi kabisaThread nyingi zilianzishwa kukuzungumzia wewe shunie ila na mimi ngoja niwe miongoni mwa waliofanya hivo japo yawezekana walikuwa hawajui wanachokifanya
Nafurahi jf hasa chit chart kunikutanisha na mwanamke huyu shunie umekuwa faraja kwangu nje na ndani ya JF...
Nina mengi ya kuandika kukuhusu wewe Shunie ila tambua NAKUPAENDA ...
Let's our love shine forever ....
Kibumbu ni jina lake muosha rungu