Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Ahahah nimeona aisee huu ujio mpya wa kaka bonny huu sijui anataka kuvumbua niniUmeonaee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahah nimeona aisee huu ujio mpya wa kaka bonny huu sijui anataka kuvumbua niniUmeonaee
Nani huyooNimeshamtag akiingia ataona atakuja dada jaman
Mwache kaka yetu bhanaa....Ahahah nimeona aisee huu ujio mpya wa kaka bonny huu sijui anataka kuvumbua nini
Kwani dada tunamzungumzia nani jaman au kila mtu ajue sasaNani huyoo
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mwache kaka yetu bhanaa....
Basi bhanaa...Kwani dada tunamzungumzia nani jaman au kila mtu ajue sasa
[emoji15] [emoji15] Umeanza ujue na kichaa chako eenhBasi bhanaa...
Mie nataka niondoke, akija Utanijulisha baaasii mdogo wangu
Mmmmh[emoji15] [emoji15] Umeanza ujue na kichaa chako eenh
Dada nitakupa mnuno si wa nchi hii unanijua lakini ujueMmmmh
Baadae jamanii
Kuwa na Aman kila mfalme na zama zakeAhahhahah siamini ujue
Nakuona nakuonaaaaaaaaa[emoji125] [emoji125] [emoji125]marhabaa binamu wanguu[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]!!!
Ha ha ha ha haUmeonaee
[emoji15] [emoji15] jibu la sakayo au mbona sijaelewa mieKuwa na Aman kila mfalme na zama zake
Marahaba mamaEwaaa
Shikamoo Kakangu
Namimi ngoja jitafute wangu humuThread nyingi zilianzishwa kukuzungumzia wewe shunie ila na mimi ngoja niwe miongoni mwa waliofanya hivo japo yawezekana walikuwa hawajui wanachokifanya
Nafurahi jf hasa chit chart kunikutanisha na mwanamke huyu shunie umekuwa faraja kwangu nje na ndani ya JF...
Nina mengi ya kuandika kukuhusu wewe Shunie ila tambua NAKUPAENDA ...
Let's our love shine forever ....
Duu![emoji12] [emoji12]Nakupenda sanaa na nitazidi kukupenda siku zote za maisha yangu Mungu azidi kuniwekea lee wangu mie tu peke angu [emoji8][emoji8][emoji8]
Hahahaa kweli walete feedbackSiku mkikosana tujue sasa tucheke sie
Asante mkuu ubarikiwe sanaShunie ana nyodo huyo ukijifanya unampenda utaishia kujuta
Akija hp utasikia oh unikome, Mara nimeolewa, mala umepotea kaka kajaribu UDA Mara hivi kweli unatumia ID gani
Mhh huyo ndio shunie anapendwa na kila mwanaume ndani ya JF kasoro brother Mero..
Tutaleta ili mfurahi na roho zenu