Shura ya Maimamu Tanzania: Mlinzi Mwanamume wa Rais kuvaa Hijabu na kuingia Msikitini

Ua
Utakuta huyo Ustaadhi Mustafa Abeid ana elimu ya darasa la 7......ujinga mtupu.....

Dola na mamlaka yake yanahojiwaje kizembe hivi ?!!
 
Watu wanavyolindwa kama vile hawatakufa.
Usalama ni MUHIMU kweli lakini inapozidi inakua kero.
Hivi watu wanakatazwaje kukanyaga barabara kwa masaa Saba kisa eti usalama wa mtu mmoja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…