Shura ya Maimamu Tanzania: Mlinzi Mwanamume wa Rais kuvaa Hijabu na kuingia Msikitini

Shura ya Maimamu Tanzania: Mlinzi Mwanamume wa Rais kuvaa Hijabu na kuingia Msikitini

Sahihi alindwe, ila sema wewe hii siyo dini yako hivyo hujui UTARATIBU na MIIKO yake. Na kitu usichokijua siyo vizuri kukishangilia maana utazidi kupotosha na wengine.

Hapa watu hawaangalii nafasi ya mtu ktk serikali, wanaangalia UTARATIBU na MIIKO ya dini husika inasemaj. Km wangekuwa wanaangalia nafasi ya mtu basi Rais huyo angeingia msikitini na mabunduki yamemzunguka km anapokuwa kwenye mazingira mengine ya kawaida.

Km ingekuwa inaangaliwa nafasi aliyonayo basi asingevua viatu nje na kuingia peku msikitini na wasaidizi wake.

Km ingekuwa inaangaliwa nafasi aliyonayo asingefuata maagizo ya IMAMU wakati wa kuswali. Imam akielekeza kuwa "sasa ni muda wa swala kila mtu azime SIMU yake lazima azime". Unajua ni kwa nini.

Tusipende kudakia na kushadadia mambo tusiyoyafahamu. Madaraka ya duniani mwisho ni mlangoni mwa mlango wa nyumba ya ibada. Nyie ndo mnakuwa viongozi tayari unachukuwa na nafasi ya Mungu, unaanza kudharau watu, kuwatusi, na kuwatisha ili wakunyenyekee.

Kumbuka wanaoona km jambo lilofanyika halikuwa sawa ni ndugu zake wenyewe (WAISLAM WENZAKE). Sasa wewe wa upande wa pili unapata wapi nguvu ya kusema alikuwa sahihi lazima alindwe. Km kulikuwa na tishio la usalama asingetoka hata kwake. "Ulinzi pekee wa uhakika unatoka kwa Mungu, Unaweza kuwa na mabunduki yako na mapanga lakini ukauwawa na MANATI."
Mungu akubariki sana ndugu BANDOKITITA kwa mchango wako huu mzuri.
 
Yaani huyo mlinzi ni punguani kabisa.utalindaje muuzaji hovyo wa maliasili za tz
Aise kumbe inafaa tutawaliwe na rais dikteta, watu kama wewe na wenzako mpate mnachostahili kutoka kwake

So, Wameuziwa kina nani hiyo misitu? Huyu mama anawaumiza sana kichwa kwakua ni mwarabu, muislamu, mzanzibari, mwanamke, sio?
 
Bado tuna akili za kizamani sana, kwahiyo kumlinda Rais lazima uingie naye msikitini na ukae nyuma yake akiswali?.
Kama kweli atakuwa Mwanaume basi itanishangaza sana na kuwadharau hawa watu wetu.

Kwanini hao TISS wangehakikisha eneo ni salama kuuzunguka msikiti na kuhakikisha wanascan kila muumini kwa maana ya kuhakikisha wanamfahamu kila aliyeswali siku hiyo ndani.
Ndani ya Tiss hakuna wanawake wakiislamu wenye weledi wanaoweza kuswali kwenye swafu nyuma ya Rais na mbele yake, kushoto-kulia na means zote za mawasiliano? Incase Kuna shida wanacommunicate nje haraka?
 
Huyu mtu anaangaika kuwatumikia watu wasiomtaka kwanini? Akae pembeni
Kwa wenye fikira kana wewe huoni hoja ya ulinzi madhubuti? Makomando wengi ni wanaume hivyo kuwa na mlinzi mwanaume. Huko msikitini na makanisani ndio rahisi kufanya uhalifu kwa zana kuwa wote wamekuja kumwabudu Mungu. Watawala wengi wameuliwa maeneo ya kuabudia toka zamani
 
Kwa wenye fikira kana wewe huoni hoja ya ulinzi madhubuti? Makomando wengi ni wanaume hivyo kuwa na mlinzi mwanaume. Huko msikitini na makanisani ndio rahisi kufanya uhalifu kwa zana kuwa wote wamekuja kumwabudu Mungu. Watawala wengi wameuliwa maeneo ya kuabudia toka zamani
Point yake ni nini? wenye fikra kama zangu tunataka kumuua au? Ebu jiheshimu.
 
So trivial. Rais asijisumbue kujibu hili. Kuna mambo ya msingi ya kujibu sio hili.

Hakuna wanawake wenye sura za kiume?
 
Yawezekana habari hii hata kwa Rais ni ngeni kwake si lazima ajue wote wanaomlinda huo ubunifu wa tis pengine walikuwa na fununnu za kutiliwa shaka.
 
Wewe kama nani mpaka ujibiwe halafu kaa ukijua haitokaa hata sikumoja idara ikajitokeza hadharani kujibu shutuma au kuelezea ufafanuzi wa jambo lolote iwe inahusika au haihusiki.

Tangu kuundwa kwake ilishafanya mara moja tu na haitokaa ijirudie tena.
 
Bado tuna akili za kizamani sana, kwahiyo kumlinda Rais lazima uingie naye msikitini na ukae nyuma yake akiswali?.
Kama kweli atakuwa Mwanaume basi itanishangaza sana na kuwadharau hawa watu wetu.

Kwanini hao TISS wangehakikisha eneo ni salama kuuzunguka msikiti na kuhakikisha wanascan kila muumini kwa maana ya kuhakikisha wanamfahamu kila aliyeswali siku hiyo ndani.
Ndani ya Tiss hakuna wanawake wakiislamu wenye weledi wanaoweza kuswali kwenye swafu nyuma ya Rais na mbele yake, kushoto-kulia na means zote za mawasiliano? Incase Kuna shida wanacommunicate nje haraka?
Hilo lijamaa lilikuwa na kipururu tu! Si unajua kwenye ishu kama hzo wanaokuja hapo majority ni maisha bora? Sasa mwamba alikuja kuangalia misambwanda tu hapo! Tiss nawaamin hawawezi kufanya recruit ya kishamba hvyo
 
Back
Top Bottom