Shusho, huu wimbo kileleni sio dalili ya u Freemasons?

Shusho, huu wimbo kileleni sio dalili ya u Freemasons?

Katika dunia ya sasa, tunaona shetani akitumia wasanii mbalimbali kuharibu kizazi hiki.

Tumeona wasanii wa bongo fleva watu wote waliojiunga na freemasonry, wakija na project mbali mbali za kuharibu kizazi kwa kupandikiza mambo ya hovyo kwa watoto na vijana.

Unakuta mtoto anaimba nyimbo za matusi mazito kabisa ya akina diamond,mtoto huyu akikua kidogo tu,anakuwa na kiu isiyo ya kawaida ya ngono.Wakati hao wanalipwa na kuwa mabilionea kwa kuharibu akili za watoto na vijana,jamii ndio inawapenda kiasi cha kushangaza sana.

Waimbaji wa gospel nao wameanza kuja na hizi project za kishetani. Kule Kenya kuna mhuni anaimba matusi haswaa! Mtu anasema Yesu ninyandue..nipate mimba ya imani!

Sasa nimesikia Christina akiimba wimbo wenye kutafakarisha sana..kwamba maji yanamfikisha kileleni!
Ukiusikiliza wimbo unagundua kuwa huenda anatamani azungumze yote yaliyomsibu kwenye ndoa.
Unajiuliza huenda alifika kileleni baada ya kutoka nje ya ndoa ndio maana akamwacha mumewe,na sasa anaimba anataka kufika kileleni, na maji yatamfikisha kileleni!

Najua ni maisha yako lakini Dada mbona ni kama umechelewa kuishi hayo maisha ya ukahaba na kumtumikia shetani kwa kuwa influence wanawake waachane na waume zao ili wafanye "assignment" kama uliyopewa wewe?

Kutoka nyimbo "ni kwa neema" tu hadi maji yananifikisha kileleni! Kweli?
huyo dada ni kaupuuzi fulani

Ignore her and the world around you will ignore her
 
Samahani mkuu.
Nakubaliana na wewe kwamba nyimbo zisizizingatia maadili na utu hazifahi lkn kwakuwa wasanii wanalenga biashara hapo ndipo kuna ugumu.

Swali langu ni je,huyo anaposema maji yanamfikisha KILELENI umejaribu kufahamu aina ya KILELE anachokizungumzia?

Maana mimi ninavyo fahamu kuna kilele cha mlima (juu kabisa ya mlima) lkn pia KILELE cha mti (juu kabisa ya mti). Karibu ndugu yangu.
sidhani kama alimaanisha kilele cha mwanamke kufikia wakati wa tendo la ndoa, mi naona anaimba afikishwe kilele cha mafanikio kwenye shughuli zake
 
Samahani mkuu.
Nakubaliana na wewe kwamba nyimbo zisizizingatia maadili na utu hazifahi lkn kwakuwa wasanii wanalenga biashara hapo ndipo kuna ugumu.

Swali langu ni je,huyo anaposema maji yanamfikisha KILELENI umejaribu kufahamu aina ya KILELE anachokizungumzia?

Maana mimi ninavyo fahamu kuna kilele cha mlima (juu kabisa ya mlima) lkn pia KILELE cha mti (juu kabisa ya mti). Karibu ndugu yangu.
Ngoja aje akujibu, binafsi Kwa mkutadha wa biblia na nilivyousikiliza huo wimbo sidhani kama kuna shida..
 
Pelekeni moto wakuu, hizo papuchi sio laini kama mnavyodhani.
 
niseme nini wakati kuna kitabu cha sir andy chande tayari kimeshafafanua freemason ni kitu gani na wanachama wao wanapatikanaje. Pia humu kuna uzi unaeleza freemamaso in and out kajisomee uwafahamu zaidi
Naomba hicho kitabu
 
sidhani kama alimaanisha kilele cha mwanamke kufikia wakati wa tendo la ndoa, mi naona anaimba afikishwe kilele cha mafanikio kwenye shughuli zake
Hata kama hakuwaza hivyo,lakini unatoaje wimbo wenye utata?
 
nadhani hapa ndipo shida inapoanza..... alafu tupime uwezo wakufikiri wa mleta mada...... tujiulize kwann awaze kileleni ya kwenye ngono....
Hii tabia ya kujitoa akili ni unafiki tu.
Fikiria mtu anaimba ninyandue nipate mimba ya imani halafu watu wa hovyo kama wewe unasema kwa nini tufikirie ngono?
Si ni yale yale na hiyo mistari ya kileleni?
 
Hii tabia ya kujitoa akili ni unafiki tu.
Fikiria mtu anaimba ninyandue nipate mimba ya imani halafu watu wa hovyo kama wewe unasema kwa nini tufikirie ngono?
Si ni yale yale na hiyo mistari ya kileleni?
hiyo ninyandue sijapinga ila sikiliza nyimbo ya shusho alafu unambie kama una utimamu wa akili kwann uwaze ngono mzee hata kama kawa malaya sio lazima uwaze kua katunga matusi au ngono....

naweza kuwa wa hovyo ila wa maana sana kukuzidi ww na familia yako asee
 
Dah ila christina shusho nampenda sana yan lishangazi lille nikilipata nasimamia ukucha mamaeh,,
ni mke wa mtu na ni mchungaji ujue yule si kahaba. Kama hujaoa tafuta mke uoe umtengeneze awe kama christina
 
KATIKA MAISHA UNATAKIWA KUJUA MAMBO MAWILI,KUNA KIPAJI/KAZI na MAISHA HALISI(HOBBY)...MTU ANAWEZA AKAWA ANAIGIZA MOVIE ZA MAPIGANO ILA KATIKA MAISHA HALISI NI MPENZI WA MAHUSIANO YA JINSIA MOJA MFANO WILL SMITH NA YULE MZEE WA PRISON BR AU MTU ANAWEZA KUWA NI MSANII WA NYIMBO ZA KIMAADILI ILA NI MALAYA WA KUTUPWA.
 
Shusho ni Malaya kama malaya wengine malaya wana aina tatu kuna ambao wanajiuza live kuna wale wamejificha wanajifanya waudumu kuna matrafic kuna hawa ambao wako kwenye dini shusho ni Pesa yako tu
 
Back
Top Bottom