Kongole wanaJF.......kutokana na spika kuwajibika kwa bunge na wananchi, ikiwa matamshi yake yalikiuka mwenendo, sheria na taratibu za bunge, shutuma hizo zilitakiwa kuibuliwa na bunge lenyewe na kama ni kuomba msamaha ndugai alitakiwa aombe huo msamaha kwa bunge au moja kwa moja kwa wananchi. Hili lililotokea kwa mhimili mmoja kuomba msamaha kwa mhimili mwingine kunaleta dhana potofu ya uhuru wa kimamlaka ya hii mihimili.
Nawasilisha.
Nawasilisha.