Shutuma dhidi ya Tigo ukibakiza MB 20 au 30 wanazuia mtandao

Shutuma dhidi ya Tigo ukibakiza MB 20 au 30 wanazuia mtandao

Dalton elijah

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
373
Reaction score
829
Tigo Tanzania wanatakiwa kujibu tashwshi za Wateja Wao Wanahoji ni kwa nini Wanakata Bando 20 Au 30 katika kila awamu ya manunuzi yake.

Je, ni hii ni tashwishi yake tu au ni pamoja na wateja wote wa Tigo? Kama kuna mteja mwingine wa Tigo amekutana na shida kama hiyo. Aseme hapa kwa sababu Tigo au wawakilishi wao Waweze Kufahamu Na Kuliwasilisha Kwa Uongozi.

Wateja Wana Maswali Yanayowatatiza kuhusiana Na Jambo Hilo

Je, Tigo hufanya kusudi au matatizo ya kiufundi?

Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni Kuhusiana Na kile Ambacho Kinaendelea?
 
Ukiwasha airplane mode na kuzima zinaendelea kutumika tena.

Nafkiri zikianza kuisha wana throttle baadhi ya matumizi. Sina uhakika lakini.
 
Tigo Tanzania wanatakiwa kujibu tashwshi za Wateja Wao Wanahoji ni kwa nini Wanakata Bando 20 Au 30 katika kila awamu ya manunuzi yake.

Je, ni hii ni tashwishi yake tu au ni pamoja na wateja wote wa Tigo? Kama kuna mteja mwingine wa Tigo amekutana na shida kama hiyo
aseme hapa kwa sababu Tigo au wawakilishi wao Waweze Kufahamu Na Kuliwasilisha Kwa Uongozi.

Wateja Wana Maswali Yanayowatatiza kuhusiana Na Jambo Hilo
Je, Tigo hufanya kusudi au matatizo ya kiufundi?

Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni Kuhusiana Na kile Ambacho Kinaendelea
Mimi ikibaki hata 50 wanasema limeisha wehu sana wale

USSR
 
Alafu wanatabia mbaya yaani km huna kifurushi wanakutumia sms ndugu mteja huna kifurushi kwa sasa ,nunua kifurushi uweze kufurahia internet .
 
Tigo Tanzania wanatakiwa kujibu tashwshi za Wateja Wao Wanahoji ni kwa nini Wanakata Bando 20 Au 30 katika kila awamu ya manunuzi yake.

Je, ni hii ni tashwishi yake tu au ni pamoja na wateja wote wa Tigo? Kama kuna mteja mwingine wa Tigo amekutana na shida kama hiyo
aseme hapa kwa sababu Tigo au wawakilishi wao Waweze Kufahamu Na Kuliwasilisha Kwa Uongozi.

Wateja Wana Maswali Yanayowatatiza kuhusiana Na Jambo Hilo
Je, Tigo hufanya kusudi au matatizo ya kiufundi?

Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni Kuhusiana Na kile Ambacho Kinaendelea
Binafsi ai naona option nzuri sana tu. Zikibaki mb30 wanacancel access baadhi ya maeneo. Ila inakuruhusu ku access sim banking au mobile money apps kwaajili ya ku recharge.

Umeshawai kufikiria ukosafarini, bundle limekata. Na huwezi kuaccess banking apps ku recharge
 
Binafsi ai naona option nzuri sana tu. Zikibaki mb30 wanacancel access baadhi ya maeneo. Ila inakuruhusu ku access sim banking au mobile money apps kwaajili ya ku recharge.

Umeshawai kufikiria ukosafarini, bundle limekata. Na huwezi kuaccess banking apps ku recharge
Wasitupangie matumizi eti simu Bank,unaongea kama maskini sana

USSR
 
Binafsi ai naona option nzuri sana tu. Zikibaki mb30 wanacancel access baadhi ya maeneo. Ila inakuruhusu ku access sim banking au mobile money apps kwaajili ya ku recharge.

Umeshawai kufikiria ukosafarini, bundle limekata. Na huwezi kuaccess banking apps ku recharge
Bando lako kwanini upangiwe matumizi?.
 
Tigo Tanzania wanatakiwa kujibu tashwshi za Wateja Wao Wanahoji ni kwa nini Wanakata Bando 20 Au 30 katika kila awamu ya manunuzi yake.

Je, ni hii ni tashwishi yake tu au ni pamoja na wateja wote wa Tigo? Kama kuna mteja mwingine wa Tigo amekutana na shida kama hiyo. Aseme hapa kwa sababu Tigo au wawakilishi wao Waweze Kufahamu Na Kuliwasilisha Kwa Uongozi.

Wateja Wana Maswali Yanayowatatiza kuhusiana Na Jambo Hilo

Je, Tigo hufanya kusudi au matatizo ya kiufundi?

Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni Kuhusiana Na kile Ambacho Kinaendelea
Niliwapigia simu juzi kati baada ya kubaki MB 38 lakini nikawa siwezi kuangalia hata jamii forum.

Wakasema kwamba, inategemea kitu unachosachi kinahitaji MB ngapi ili uweze kupata mtandao.

Kwamba, hizo hizo MB38 zinaweza kukubali kusachi site fulani, na zikashindwa site fulani.

Dauti yangu;

Mbona mitandao mingine unatumia mpaka inafika kabia 0MB ila kwa tigo sahau hilo!
 
Back
Top Bottom