Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo sio tuhuma bali ni uhalilsia na ni wizi Tgo wanaufanya, mimi nishahidi inanitokea mara zote kuanzia Mb 60 inaslow down then ndo byebye, imefika mahali nishazoea sasa wizi waoTigo Tanzania wanatakiwa kujibu tashwshi za Wateja Wao Wanahoji ni kwa nini Wanakata Bando 20 Au 30 katika kila awamu ya manunuzi yake.
Je, ni hii ni tashwishi yake tu au ni pamoja na wateja wote wa Tigo? Kama kuna mteja mwingine wa Tigo amekutana na shida kama hiyo. Aseme hapa kwa sababu Tigo au wawakilishi wao Waweze Kufahamu Na Kuliwasilisha Kwa Uongozi.
Wateja Wana Maswali Yanayowatatiza kuhusiana Na Jambo Hilo
Je, Tigo hufanya kusudi au matatizo ya kiufundi?
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni Kuhusiana Na kile Ambacho Kinaendelea
Kwahiyo unataka kuwauzia watu VPNTumieni VPN nyie bwiga elf 10 Kwa mwezi Kwa matumizi unlimited siyo haba.
Unatumia niniMe tigo na voda huwa sijiungi bando ya internet nishaacha kitambo sana
Speed yake ipojeTumieni VPN nyie bwiga elf 10 Kwa mwezi Kwa matumizi unlimited siyo haba.