Shutuma dhidi ya Tigo ukibakiza MB 20 au 30 wanazuia mtandao

Shutuma dhidi ya Tigo ukibakiza MB 20 au 30 wanazuia mtandao

Tumieni VPN nyie bwiga elf 10 Kwa mwezi Kwa matumizi unlimited siyo haba.
 
Hizo
Tigo Tanzania wanatakiwa kujibu tashwshi za Wateja Wao Wanahoji ni kwa nini Wanakata Bando 20 Au 30 katika kila awamu ya manunuzi yake.

Je, ni hii ni tashwishi yake tu au ni pamoja na wateja wote wa Tigo? Kama kuna mteja mwingine wa Tigo amekutana na shida kama hiyo. Aseme hapa kwa sababu Tigo au wawakilishi wao Waweze Kufahamu Na Kuliwasilisha Kwa Uongozi.

Wateja Wana Maswali Yanayowatatiza kuhusiana Na Jambo Hilo

Je, Tigo hufanya kusudi au matatizo ya kiufundi?

Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni Kuhusiana Na kile Ambacho Kinaendelea
Hizo sio tuhuma bali ni uhalilsia na ni wizi Tgo wanaufanya, mimi nishahidi inanitokea mara zote kuanzia Mb 60 inaslow down then ndo byebye, imefika mahali nishazoea sasa wizi wao
 
Kwangu ilikua hivyo kila inapobaki mb 50 kushuka chini siwezi kuperuzi , nikaja kugundua ukibadili kutoka 4g kwenda 3g zinapiga kazi kama kawa , kwahyo nadhani speed ya mtandao inasababisha zisifanye chochote , au zifanye kazi kwa baadhi ya huduma tu
 
Hii ni kweli aisee ata mm imenitokea juzi
Waache uhuni
 
Back
Top Bottom