Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
Gari unakuta limekaa mwezi mzima melini... betri yenyewe imechoka...kweli unategemea lifike bandari betri ikiwa na uwezo wa kuwasha gari..?Tamani niwaalike mje wakati wa kushusha magari muone watu wanavyohangaika kuibusti ili ishuke
Jamaa sio kwa promo hiyo.Watu wa Beforward mnaanzisha uzi wenu halafu mnaanza kujijibu si mlipie commercial tu
Hutoa ushauri wa kitaalamu sana na hawana tamaa ya kumshawishi mteja anunue gari lisilo na ubora. Vile vile ni washauri wazuri sana inapokuja ukubwa wa engine , ushauri wateja kununua magari ya engine ndogo ambayo ni rahisi kuuza kuliko engine kubwa.Wakuu wakati nauliza uliza kuhusu kampuni gani niitumie kuagiza gari, nimekutana na shutuma kuwahusu hawa jamaa!
Wapo wanaodai jamaa huwa wanaleta magari mabovu au muda mwingine unaletewa gari lenye engine kubwa tofauti na ulivyoagiza na bado kuna hidden costs!
Je wazoefu hizi shutuma ni za kweli?