Shutuma hizi kuhusu Befoward zina ukweli wowote..

Shutuma hizi kuhusu Befoward zina ukweli wowote..

Tamani niwaalike mje wakati wa kushusha magari muone watu wanavyohangaika kuibusti ili ishuke
Gari unakuta limekaa mwezi mzima melini... betri yenyewe imechoka...kweli unategemea lifike bandari betri ikiwa na uwezo wa kuwasha gari..?

Na ndiyo maana wakishalishusha melini siku unachukua unakuta wameliwsha linaendelea kunguruma ili kuchaji betri....

Mbona ni hisabati ndogo tu kuliko hata za darasa la pili...?[emoji41][emoji41]
 
Wakuu wakati nauliza uliza kuhusu kampuni gani niitumie kuagiza gari, nimekutana na shutuma kuwahusu hawa jamaa!
Wapo wanaodai jamaa huwa wanaleta magari mabovu au muda mwingine unaletewa gari lenye engine kubwa tofauti na ulivyoagiza na bado kuna hidden costs!
Je wazoefu hizi shutuma ni za kweli?
Hutoa ushauri wa kitaalamu sana na hawana tamaa ya kumshawishi mteja anunue gari lisilo na ubora. Vile vile ni washauri wazuri sana inapokuja ukubwa wa engine , ushauri wateja kununua magari ya engine ndogo ambayo ni rahisi kuuza kuliko engine kubwa.
 
Back
Top Bottom