Si ajabu kuna Watanzania wenzetu wanatamani wangedondokewa na kifusi Kariakoo

Si ajabu kuna Watanzania wenzetu wanatamani wangedondokewa na kifusi Kariakoo

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Kuna jamaa yule mwenye jezi ya Yanga alivyotolewa nilitegemea watu wangelia machozi ya furaha lakini wapi,...watu walikuwa kama wanshangalia movie,hakuna hisia kwenye nyuso zao,walishangilia utadhani wako mpirani wakati jamaa alikuwa katikati ya kifo na mauti,...Wanatamani lile zari lingewatokea wao wakawa wanahojiwa na vyombo vya habari,wasichokijua jamaa kaishapoteza mtaji na anaenda kuanza upya,huenda akapitia pagumu kurudi kama mwanzo

Kuna wale graduate mwaka wa nane huu hawana kazi wako kwa shemeji,wanalala sebuleni ,hawa nao wanatamani wangedondokewa na kifusi wafe.

Kuna wale wenye madeni mpaka nyumba inataka kuuzwa na benki na hawajui watalipaje madeni au watoto watalala wapi nyumba ikiuzwa...

Kuna wale wanaumwa magonjwa hatari kama kupooza au kansa,maumivu wanayopata,wameshakata tamaa ya kuishi


Tuwaombee watu hawa
 
Andika hapo na Kuna wengine wapo Kwenye ndoa imekuwa chungu kuliko mwarobani ..ila ndio wanaona wakikimbia watu watasemajee...
FB_IMG_1731931623196.jpg
 
Huenda umekua na tafsiri mbaya kutokana na yeye kushangiliwa, ila walishangilia uhai wake
 
Na kuna wengine tunatamani kuchangisha ila hatujui tuanzie wap
 
Back
Top Bottom