Si CHADEMA tu, Vyama vyote vya Upinzani havina dhamira ya kushika Dola!

Si CHADEMA tu, Vyama vyote vya Upinzani havina dhamira ya kushika Dola!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Ukitaka kulielewa hili vizuri angalia aina ya Wagombea wanaowaweka kwenye kinyang'anyiro cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, lakini angalia hata Mifumo yao ya Kampeni; Mrema anampigia Kampeni Magufuli na kumuacha Mgombea Urais wa chama chake.

Zitto anampigia Kampeni Tundu Lissu badala ya Membe, lakini kichekesho ni Tundu Lissu anampigia Kampeni Zitto wa ACT Wazalendo na kumuacha Mgombea Ubunge wa CHADEMA.

Unadhani Lissu angeundaje Serikali bila ya kuwa na Wabunge wa kutosha wa chama chake?

Dhamira ya kushika Dola haiko kabisa kwenye Vyama vya Upinzani.

Jumaa kareem!
 
Mkuu hujiulizi kwanini Magufuli alimpigia kampeni kampeni Mrema na kumuacha kijana wa chama chake pale Vunjo, lakini wote wakagaragazwa na James Mbatia.

Siasa ni sayansi inayohitajika popularism kuliko hata pilicies.
 
Dhamira!

Unaweza kujikuta tu kwenye Chama fulani kwa sababu ya kutokea Sanya Juu

Ni kama mko kwenye VICOBA au Saccos!
This is outdated intelligence.

Sio Sanya Juu, Chato au Ruangwa ambako utasema wakazi wa hapa ni wa chama X.

Hizo fikra nilidhani tulizizika March 2021 kumbe bado zipo?
 
This is outdated intelligence.
Sio Sanya Juu, Chato au Ruangwa ambako utasema wakazi wa hapa ni wa chama X.
Hizo fikra nilidhani tulizizika March 2021 kumbe bado zipo?
Tumezizika 8/3/2023 pale Moshi kwenye Kongamano la Bawacha!
 
Ukitaka kulielewa hili vizuri angalia aina ya Wagombea wanaowaweka kwenye kinyang'anyiro cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, lakini angalia hata Mifumo yao ya Kampeni; Mrema anampigia Kampeni Magufuli na kumuacha Mgombea Urais wa chama chake....
Mimi nafikiri hii post umeitoa kwasababu unajua kusoma na kuandika tu. Hakika umekosa cha kuandika.
Mgombea Wa Urais wa CHADEMA, 2020 kama binadamu alimzidi sifa mgombea Wa CCM kila kitu isipokuwa ukatili tu. Magufuli hakustahili kuwa Rais wa Nchi hii.

Miaka yote wabunge wa CHADEMA kule bungeni ndio walio leta msisimko kwa hoja na uchapakazi. CCM pamoja na wingi wao walizidiwa kwa hoja na wabunge Wa CHADEMA.

Magufuli huwezi mfananisha kiuwezo na mtazamo wa kiuchumi na Mbunge yeyote wa CHADEMA wa bunge la 2015/2020.

Mimi nadhani kinacho tufanya tubaki hivi tulivyo kama Nchi ni kwasababu tunao watu wengi wasio na elimu sahihi kama mleta hii thread.
 
Mimi nafikiri hii post umeitoa kwasababu unajua kusoma na kuandika tu. Hakika umekosa cha kuandika.
Mgombea Wa Urais wa CHADEMA, 2020 kama binadamu alimzidi sifa mgombea Wa CCM kila kitu isipokuwa ukatili tu. Magufuli hakustahili kuwa Rais wa Nchi hii....
Kwahiyo wewe ni mjanja kuliko David Silinde, Patrobas Katambi, Joshua Nassari, Lijualikali, Gekui, Dr Mollel, Mwita Waitara, Dr Mashinji, Dr Slaa nk.....nk? 😂😂😂
 
Kwahiyo wewe ni mjanja kuliko David Silinde, Patrobas Katambi, Joshua Nassari, Lijualikali, Gekui, Dr Mollel, Mwita Waitara, Dr Mashinji, Dr Slaa nk.....nk? 😂😂😂
Unawezaje kunifananisha mimi na watu walio nunuliwa kwa vipande vya fedha? Hapo kuna watu walijiunga na Magufuli kwasababu ya ukabila na wengine kwasababu ya umasikini wa kipato.

Wana uwezo kiakili lakini hawakuweza kusimamia walicho kuwa wanakiamini . Wajanja ni akina siye tulio baki na msimamo ule ule hata wakati wa mtawala katili aliye amini risasi ingemaliza upinzani Nchini.
 
Unawezaje kunifananisha mimi na watu walio nunuliwa kwa vipande vya fedha? Hapo kuna watu walijiunga na Magufuli kwasababu ya ukabila na wengine kwasababu ya umasikini wa kipato. Wana uwezo kiakili lakini hawakuweza kusimamia walicho kuwa wanakiamini . Wajanja ni akina siye tulio baki na msimamo ule ule hata wakati wa mtawala katili aliye amini risasi ingemaliza upinzani Nchini.
Sasa ni Biashara ya mali kwa mali "Asali"
 
Ukweli mnaujua ila mnajizima data , ccm bila vyombo vya Dola haina uhai kbs...wekeni Tume huru ya uchaguzi alafu ndo mje na hz ngojera zenu ... 2024 tutawapiga kwenye serikali za mitaa na vijiji, alafu 2025 tutawachakaza kwenye uchaguzi mkuu ...lkn ikiwa kutakuwa na Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi , kama ni Kwa Tume hii hii mtaendelea kutamba kila mwaka
 
Mimi nafikiri hii post umeitoa kwasababu unajua kusoma na kuandika tu. Hakika umekosa cha kuandika.
Mgombea Wa Urais wa CHADEMA, 2020 kama binadamu alimzidi sifa mgombea Wa CCM kila kitu isipokuwa ukatili tu. Magufuli hakustahili kuwa Rais wa Nchi hii.

Miaka yote wabunge wa CHADEMA kule bungeni ndio walio leta msisimko kwa hoja na uchapakazi. CCM pamoja na wingi wao walizidiwa kwa hoja na wabunge Wa CHADEMA.

Magufuli huwezi mfananisha kiuwezo na mtazamo wa kiuchumi na Mbunge yeyote wa CHADEMA wa bunge la 2015/2020.

Mimi nadhani kinacho tufanya tubaki hivi tulivyo kama Nchi ni kwasababu tunao watu wengi wasio na elimu sahihi kama mleta hii thread.
Usiwe unavuta bangi
 
Ukitaka kulielewa hili vizuri angalia aina ya Wagombea wanaowaweka kwenye kinyang'anyiro cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, lakini angalia hata Mifumo yao ya Kampeni; Mrema anampigia Kampeni Magufuli na kumuacha Mgombea Urais wa chama chake...
kwamba wafuas wa lumumba ndio wategemewe kusema vyama vya upinzan vinadhamira ya kushika dola, itakuwa akili matope.
 
Back
Top Bottom