Si hata Rais Mstaafu Mwinyi walisema anauza nchi? Kiko wapi?

Hivi hujui kama aliuza Loliondo hata kwenye kitabu chake amekiri? au unajitoa ufahamu?

Hapo umemnyuka ngumu ya pua mleta huu uzi !! Yaani hafahamu ukifika tu maeneo ya loliondo hata network signal inasoma UAE ! Yaani mwarabu akiwa hapo anawasiliana na huko UAE kama anaongea na mtu Arusha mjini! Yule mzee Mwinyi ni mshenzi kuliko maelezo [emoji35]
 
Ndiyo ni muuzaji wa Loliondo hadi leo ukiingia huko mitandao inakuambia unaingia UAE. Sasa Bintiye amemalizia ngorongoro na sasa tena anauza bandari - Familia ya majambazi hii.
 
Wenye akili za kibaguzi kama hizi wanazidi kuongezeka, primitive mindsets. Mangapwani na Mpigaduru ni bandari mbili kubwa zinazokwenda kukuzwa kieneo na kiuzalishaji.

DPW anautaka mzigo mkubwa wa Congo na Rwanda, je huko Unguja na Pemba upo huo mzigo anaoutaka mwarabu?.
 
Unadhani kuvunja mkataba ni jambo rahisi?
 
Hivi hujui kama aliuza Loliondo hata kwenye kitabu chake amekiri? au unajitoa ufahamu?
Jamaa hajui wanapo Sema anauza nchi walikuwa anamaanisha nini. Huyu atakuwa kasimama au kudimuliwa halafu anakuja na story yake.

Hajui kuwa kwenye ardhi aliyouza Mwinyi huko Loliondo, ukiingia pale network ya simu inasoma UAE.
 
endele kukomaa tuone nani mshindi kati ya team waunga mkono DP world na team timua DP world
 
Alitupib huyu. Hawa malemba wanapenda sana kuuza uza
 
Ndio maana mungu anachelewa kumchukua ili aone alivyotulaghai na kutuuza kwa UAE.
 
Muislam kuwa manamba wa mwarabu hajawahi kuona shida, wanaonaga waarabu Kama mitume
Kinyume chake ndio sahihi,
Kwani hatujaona mtume wala nabii wa kiarabu ila kwa wagalatia na wazungu kila uchao mitume na manabii wapya huchipuka
 
Wao wanachojua nchi hii akishika muislam tuh basi wanahisi nchi inaenda kusilimishwa,cha ajabu wakija ndug zao kuongoza nchi hii haraka haraka wanataman waislam warud Tena kushika madaraka, Kikwete walimuita dhaifu,alipokuja Jamaa Yao wakatubu na kusaga meno,kaingia Samia kuweka mambo sawa wanaanza Tena choko choko
 
Kinyume chake ndio sahihi,
Kwani hatujaona mtume wala nabii wa kiarabu ila kwa wagalatia na wazungu kila uchao mitume na manabii wapya huchipuka

Tena kinachonishangaza Mimi ni kumchukua yule sanamu la kizungu na kumtundika msalabani bila nguo,Kisha wanamuita Mungu,Yani wagalatia sijui nani kawaroga hawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…