Si hata Rais Mstaafu Mwinyi walisema anauza nchi? Kiko wapi?

Si hata Rais Mstaafu Mwinyi walisema anauza nchi? Kiko wapi?

Nchi ina watu wapuuzi sana hii. Yale majengo ya makambi ya majeshi yaliyokuwa yanajengwa Msata ati ya Rizwan. Barabara ya Bypass kutoka Tanga kupitia Msoga kama unaenda Morogoro ulipingwa pia at Rizwan ndo kaamrisha.. Barabara ya Bagamoyo Msata ilipingwa kwamba anajipndelea.
Chuki nyingi sana.....utasema kuna kozi maalum ya chuki wanapitia
 
View attachment 2678190

Huu wimbo wa kila Rais kuambiwa anauza nchi ulianza kwa Rais Mwinyi, unajua sababu ilikuwaje?

Baada ya Nyerere kwenda China mwaka 1966 akasema akakuta kule China kila kitu kinafanywa na serikali kuanzia maduka ya mchele na sigara hadi magari ya taxi na bakery za kuuza mikate.U communist ulikuwa umepamba Moto sana sana, ingawa leo wachina washaufuta kabisa huo ucommunits. Lakini kipindi Nyerere anaenda huko hadi Suti zile tunaita Kaunda Suit Nyerere alitoa huko kwa wachina. Waziri mkuu wao anaitwa Choun Enlai kama sikosei, Kaunda nae alizitoa huko huko kwa wachina.

Nyerere aliporudi mwaka 1967 akapitisha Azimio la Arusha na kuanza rasmi "siasa za Ujama na kujitegemea" na kutaiifisha biashara zote za watu binafsi na majumba yao na kampuni za Serikali za kuuza mchele na sigara zikaanzishwa kukaja RTC ikaja Co Cabs kampuni ya taxi ya serikali. RTC na maduka ya kijiji na mtaa na shirika la kusaga na kukoboa unga na Makampuni Tele Tele ya serikali.

Ikawa marufuku kwa mwananchi kumiliki taxi yako binafsi hata kununua gari tu Kwa kibali maalum kwanza. Ikawa marufuku kuwa hata na kiduka cha kuuza mchele na unga na sigara, ukifanya hivyo wewe ni mhujumu wa uchumi na bepari na mkabaila. Siasa hizo pia zilifanya kila shirika kuwe na ofisi ya CCM wananchi wanafundishwa utii na itikadi za siasa ya Ujamaa na kujitegemea.

Pamoja na mazuri mengi sana ya Nyerere na siasa ya Ujamaa na kujitegemea lakini ukweli usemwe ku copy kila kitu Kwa wachina bila kuangalia mazingira yetu alikosea sana hasa pale alipojaribu kuanzisha vijiji vya ujamaa. Watu wakaondolewa kwa nguvu kwenye mashamba yao wakalazimishwa kulima shamba la kijiji.

Wengine waliogoma wakachomewa nyumba zao moto waende wahamie kwenye vijiji vya ujamaa, wapo walioliwa na Simba na wengi walipohamia huko wakawa masikini zaidi. Hadi zoezi la vijiji vya ujamaa likapigwa stop, nchi ikaingia na njaa, uzalishaji ukapungua.

Kupata bidhaa kama sigara na mchele au unga ikawa Kwa kupanga foleni na kupigana vikumbo kwenye maduka ya vijiji na mitaa. Hali ikawa mbaya zaidi vita ya Uganda ilipofika.

Wakati Mwinyi anachukua nchi hali ilikuwa mbaya sana ikabidi aanze na kuruhusu watu binafsi wafanye biashara hizo ndogo ndogo kama kuuza mikate, mchele na sigara ili serikali itoke huko. Kampuni kama co cabs ya Taxi ikabidi iaachwe ife kifo cha kawaida, maduka ya RTC ikabidi nayo yafe, watu wenye exposure kidogo na biashara.

Wahindi, waarabu since Wana mitaji ya ndugu zao nje uzoefu wakawa wa kwanza kushika biashara hizo kabla ya waswahili, wachaga, wakinga n.k kuja later kuzishika na kuwa replace kabisa baadae. Wakati haya yote yanayokea alichoambulia Mwinyi ni matusi tu ya "kuuza nchi "na "kuwapa wahindi na waraabu" njia za uchumi as if kuna mswahili aliezuiwa kumiliki duka la kuuza mchele na sigara.

Leo hiii Kariakoo yote imejaa watu wa makabila tofauti, watu wamejiongeza now wanaenda wenyewe popote pale iwe China au Uturuki, haijalishi we mkinga au mchaga unafanya biashara popote Kwa uwezo wako wa akili na mtaji.

Popote leo ukianzisha mashine ya kusaga na kukoboa mchele au duka la jumla hakuna wa kukuita bepari wala kabaila, wala kukutisha.

Kilelele ilikuwa mwaka 1992 ambapo Mwinyi alifuta kabisa Azimio la Arusha na kuleta Azimio la Zanzibar ambalo lilipiga kabisa marufuku ya wananchi kunyayaswa Kwa aina yoyote kuhusu vibali vya biashara, wala kuuliza uliza watu kuhusu biashara wanazotaka kufanya na kuanza kuwaletea zengwe la "makabaila na mabepari"

Matusi aliyopata Mwinyi kuwa "anauza nchi" yalikuwa makubwa sana na mambo ya kumuita Mzanzibari tunataka Tanganyika yalikuwa mengi Sana kama sasa tu au pengine zaidi lakini alipokuja Rais Mtanganyika watu walikuwa tayari washazoea "matunda ya Rais Mwinyi' kiasi washasahau kuwa walikuwa wanataka turudi nyuma tena kwenye maduka ya serikali na taxi za Serikali na maduka ya vijiji na serikali kuuza mikate na sigara.

Sometimes kuwatoa watu kwenye kiza unaweza ambulia matusi makubwa sana. Hadi watu hao wafike kwenye mwanga ndo wanakuja kugundua aaha kumbe tulikuwa tunakuja huku.
Are you serious? Au unatania tu?
 
Jiridhishe na fact zako mkuu. China alitamani awe founding member wa GATT/WTO lakini attempts zake ziliwekewa ngumu na US, EU, Japan na si kwamba mwenyewe hakuwa akitaka. Yes, sababu kubwa yakukataliwa kujiunga ni kutakiwa kutekeleza sera za uchumi wa Soko.

Kumbuka China kukua kwake kiuchumi kulichangiwa sana na Marekani ambapo mbali ya mikopo aliyopewa lakini pia alipewa "most favoured nation" status na US. Hii ni kwasababu China alikuwa na makubaliano maalum ya kununua industrial goods kutoka US na kuuza pamba yake US akibadilishana na mattekta kabla hajafanya u-turn.

Alipopunguziwa favor za kufaidika na masoko ya EU na US, huku mpango wake wa "modernization program" ulipofanikiwa, hakuwa na namna zaidi ya kukubali masharti ya uchumi wa Soko na hivyo kuwa mwanachama wa WTO.
Mkuu,

Kuna kitu chaitwa China Shock umewahi kukisikia?

Hiii ni pale bidhaa za China kwenda Marekani na Ulaya ziliathiri masoko, viwanda na ajira ndani ya nchi hizo kwa kiasi kikubwa.

Bidhaa hizi ni zile za matumizi (consumer goods) na bidhaa za kutumika kutengeneza bidhaa zingine (capital goods) na mchina hapa aliwaweza Marekani na bara la Ulaya kwa kujaza kila kitu kwenye nchi hizo.

Hivyo WTO walitaka wazungumze na China ili kuangalia mabadiliko niloyaeleza hapo juu kama yaweza kurekebishwa kiasi cha kuifanya China nayo ikubali bidhaa kutoka katika nchi hizo na pia kuruhusu makampuni ya kutoka nchi hizo kwenda China kufungua viwanda na biashara.

Hivyo kulikuwa na negotiations za kutosha kabla China kukubali kuingia WTO.
 
Mwinyi alipigiwa kelele baada ya kuingia Mkataba na Waarabu kuhusu Pori Tengefu la Loliondo. Mkataba wa kinyonyaji ambao haina tofauti na huu wa Bandari. Kwanini tusiseme tena kwa sauti "Mwinyi Mzanzibari kauza nchi"??
Kaeni na umasikini wenu, eti mkidai mapori myakumbatie wenyewe. Ndio maana Kagame anawacheka! Haya kaeni na mapori yenu kama yatawapa Dola za kimarekani. Someni muelimike.
Tanzania si nch ya kupa Trilioni 2 kwa mwezi. ni vioja!
Mngemsikiliza Mwinyi leo mngechezea Trilioni 5 mpaka 8 kwa mwezi. Kalaga baho!
 
Hajulikani hoja yako ni nini zaidi ya kuutetea wizi wa bandari yetu
Hoja ni kuwa, watanzania waukataa utajiri na wanapenda kukumbatia umasikini. Hoja yeyote inayoleta maendeleo ya kweli hatuipendi badala yake tumekumbatia wapigaji. Malalamiko ya bandari toka nizaliwe ni yale yale, leo eti mtanzania bado anataka serikali iendeshe hiyo Bandari licha ya kupigwa kila siku.
 
View attachment 2678190

Huu wimbo wa kila Rais kuambiwa anauza nchi ulianza kwa Rais Mwinyi, unajua sababu ilikuwaje?

Baada ya Nyerere kwenda China mwaka 1966 akasema akakuta kule China kila kitu kinafanywa na serikali kuanzia maduka ya mchele na sigara hadi magari ya taxi na bakery za kuuza mikate.U communist ulikuwa umepamba Moto sana sana, ingawa leo wachina washaufuta kabisa huo ucommunits. Lakini kipindi Nyerere anaenda huko hadi Suti zile tunaita Kaunda Suit Nyerere alitoa huko kwa wachina. Waziri mkuu wao anaitwa Choun Enlai kama sikosei, Kaunda nae alizitoa huko huko kwa wachina.

Nyerere aliporudi mwaka 1967 akapitisha Azimio la Arusha na kuanza rasmi "siasa za Ujama na kujitegemea" na kutaiifisha biashara zote za watu binafsi na majumba yao na kampuni za Serikali za kuuza mchele na sigara zikaanzishwa kukaja RTC ikaja Co Cabs kampuni ya taxi ya serikali. RTC na maduka ya kijiji na mtaa na shirika la kusaga na kukoboa unga na Makampuni Tele Tele ya serikali.

Ikawa marufuku kwa mwananchi kumiliki taxi yako binafsi hata kununua gari tu Kwa kibali maalum kwanza. Ikawa marufuku kuwa hata na kiduka cha kuuza mchele na unga na sigara, ukifanya hivyo wewe ni mhujumu wa uchumi na bepari na mkabaila. Siasa hizo pia zilifanya kila shirika kuwe na ofisi ya CCM wananchi wanafundishwa utii na itikadi za siasa ya Ujamaa na kujitegemea.

Pamoja na mazuri mengi sana ya Nyerere na siasa ya Ujamaa na kujitegemea lakini ukweli usemwe ku copy kila kitu Kwa wachina bila kuangalia mazingira yetu alikosea sana hasa pale alipojaribu kuanzisha vijiji vya ujamaa. Watu wakaondolewa kwa nguvu kwenye mashamba yao wakalazimishwa kulima shamba la kijiji.

Wengine waliogoma wakachomewa nyumba zao moto waende wahamie kwenye vijiji vya ujamaa, wapo walioliwa na Simba na wengi walipohamia huko wakawa masikini zaidi. Hadi zoezi la vijiji vya ujamaa likapigwa stop, nchi ikaingia na njaa, uzalishaji ukapungua.

Kupata bidhaa kama sigara na mchele au unga ikawa Kwa kupanga foleni na kupigana vikumbo kwenye maduka ya vijiji na mitaa. Hali ikawa mbaya zaidi vita ya Uganda ilipofika.

Wakati Mwinyi anachukua nchi hali ilikuwa mbaya sana ikabidi aanze na kuruhusu watu binafsi wafanye biashara hizo ndogo ndogo kama kuuza mikate, mchele na sigara ili serikali itoke huko. Kampuni kama co cabs ya Taxi ikabidi iaachwe ife kifo cha kawaida, maduka ya RTC ikabidi nayo yafe, watu wenye exposure kidogo na biashara.

Wahindi, waarabu since Wana mitaji ya ndugu zao nje uzoefu wakawa wa kwanza kushika biashara hizo kabla ya waswahili, wachaga, wakinga n.k kuja later kuzishika na kuwa replace kabisa baadae. Wakati haya yote yanayokea alichoambulia Mwinyi ni matusi tu ya "kuuza nchi "na "kuwapa wahindi na waraabu" njia za uchumi as if kuna mswahili aliezuiwa kumiliki duka la kuuza mchele na sigara.

Leo hiii Kariakoo yote imejaa watu wa makabila tofauti, watu wamejiongeza now wanaenda wenyewe popote pale iwe China au Uturuki, haijalishi we mkinga au mchaga unafanya biashara popote Kwa uwezo wako wa akili na mtaji.

Popote leo ukianzisha mashine ya kusaga na kukoboa mchele au duka la jumla hakuna wa kukuita bepari wala kabaila, wala kukutisha.

Kilelele ilikuwa mwaka 1992 ambapo Mwinyi alifuta kabisa Azimio la Arusha na kuleta Azimio la Zanzibar ambalo lilipiga kabisa marufuku ya wananchi kunyayaswa Kwa aina yoyote kuhusu vibali vya biashara, wala kuuliza uliza watu kuhusu biashara wanazotaka kufanya na kuanza kuwaletea zengwe la "makabaila na mabepari"

Matusi aliyopata Mwinyi kuwa "anauza nchi" yalikuwa makubwa sana na mambo ya kumuita Mzanzibari tunataka Tanganyika yalikuwa mengi Sana kama sasa tu au pengine zaidi lakini alipokuja Rais Mtanganyika watu walikuwa tayari washazoea "matunda ya Rais Mwinyi' kiasi washasahau kuwa walikuwa wanataka turudi nyuma tena kwenye maduka ya serikali na taxi za Serikali na maduka ya vijiji na serikali kuuza mikate na sigara.

Sometimes kuwatoa watu kwenye kiza unaweza ambulia matusi makubwa sana. Hadi watu hao wafike kwenye mwanga ndo wanakuja kugundua aaha kumbe tulikuwa tunakuja huku.
Hakuna rais muislamu aliyeongoza bila kampeni against him…. Na wahusika wakuu ni walewale

Sadly hata sisi wakatoliki, Marais wetu we’re not perfect
 
Hakuna rais muislamu aliyeongoza bila kampeni against him…. Na wahusika wakuu ni walewale

Sadly hata sisi wakatoliki, Marasi wetu we’re not perfect
Very very sad...
 
Mkataba wa IOC uliendelezwa? Unajua maana ya kuvunja katiba? Unataka kuhalalisha haramu?
Kuna shida gani kusaini Mkataba wenye kuheshimu katiba tuliyonayo na uhuru wetu?
Usiwadanganye watu...bila Nyerere kuzima lile kundi la G55, wale jamaa wangeanzisha serikali ya Tanganyika. Shingo ilishaelekea kibra
Ama huyu bingwa anayo habari ya Chavda ? Loriondo ameshairudisha? Nani aliipiga mnada
 
Mkuu The Boss,

Ni kweli serikali ya China walimiliki njia kuu za uchumi na kupanga sera zote za uchumi kutoka serikalini (central Planning)

Lakini wachina walinza kurekebisha uchumi wao rasmi mwaka 1978 na wakati huo Tanzania sera za Azimio la Arusha zimeyumba sana.

Mabadiliko ya uchumi wa China yaliitwa Reform and Opening Up na yalibuniwa na Deng Xiaoping akiongoza wanamabadiliko wengine ndani ya chama cha kikomunisti cha China CCP.

Mabadiliko ya uchumi wa China yalikuwa ni mabadiliko kwelikweli kuanzia ndani ya China yenyewe yaani uwekezaji binafsi, ubunifu na ujasiriamali, na ukuzaji uchumi kwa ajili ya soko la ndani. Baada ya hatua hiyo Wachina wakaingia kwenye kuhakikisha waongeza umri wa kustaafu kazi, kudhibiti watu waso na kazi (unemployment) kwa kuhakikisha watu waenda kufanya kazi viwandani, kuhudumia walohitaji huduma za afya na mwisho kufanya mabadiliko katika makampuni na mashirika ya umma katika kuyaendesha na usimamizi wake.

Mwaka 1989 kukawa na matatizo ambayo yalipelekea kukawa na yale maandamano maarufu pale Tiananmen Square na kuna watu walizuia vifaru vya jeshi na watu wengi walikufa.

Maandamani yalee yalitokana na hali ngumu ya uchumi kwani ukianza kufanya mabadiliko ya uchumi ili uuweke sawa ni lazima kuna asilimia kubwa ya watu wataathirika na vyuma vitaanza kubana, na hapo Wachina walijiandaa kwa hilo.

Baada ya haya mambo ya maandamano kuisha mwaka 1992 bwana Deng Xiaoping akafanya ziara kubwa sana kusini mwa China kwenye miji ya Zhuhai, Ghuangzou, Shenzhen na Shanghai na hotuba yake ilikuwa ndo kiini cha miji hiyo kuwa ilivyo leo hii na Ghuangzou ukiwa kitovu cha biashara cha kimataifa.

Hotuba ya Xiaoping ilikuwa ni ya kusisimua na yenye kutia hamasa akasema, ataka mji wa Ghuangzou ufanane na nchi nne ziloitwa Four Asian Tigers ndani ya miaka 20.

Naam, mwaka 2014 China ilikuwa imeipita Japan na kuwa nchi ya pili kwa uchumi mkubwa duniani.

Hivyo, chama cha CCP walifanya na mambo makuu kwa hatua mbili kama yafuatayo:

Hatua ya kwanza

1. Kwa miaka 10 (1970 hadi 1980) kurekebisha njia zitumikazo kwa kilimo na kukifanya kiwe cha kisasa zaidi ili kupata mazao mengi kulisha nchi, kuweka akiba na kuuza nje.

2. Kufungua nchi kwa ajili ya mitaji ya moja kwamoja yaani Direct Investiment.

3. Kuruhusu wajasiriamali kufanya biashara bila woga na kuondoa urasimu.

4. Pamoja na hayo yote mashirika na makampuni ya umma yaliendelea kuwa chini ya serikali.

Hatua ya pili 1980- 1990

1. Kubinafsisha mashirika na makampuni ya umma au serikali kwa watu binafsi/makampuni binafsi ili wayaendeshe chini ya usimamizi mkali.

2. Kuingia mikataba na watu/ makampuni binafsi kuendesha makampuni na mashirika ya umma.

3. Kuondoa udhibiti wa bei na masoko.

4. Kuondoa sera na sheria ngumu zinodhibiti ukuaji wa biashara na mitaji yake.

5. Pamoja ya yote hapo juu bado njia kuu za uchumi kama mabenki, bandari, mashirika kama ya mafuta na rasilimali zingine yalibaki kuwa chini ya serikali.

Mambo haya niloeleza , ndiyo yaliifanya sekta binafsi nchini China kukuwa sana na GDP kufikia asilimia mwaka 2005 na wakti huo bwana Hu Jintao na baadae bwana Wen Jiabao wakiwa mawaziri wakuu waliendeleza libeneke na kuanzia hapo China ikawa tishio kwa Marekani.

CCM imekuwa madarakani tangia ilipoasisiwa kutoka TANU na imeshindwa kuiweka Tanzania katika moja ya mataifa bora kiuchumi katika eneo la maziwa makuu na ukanda wa Afrika Mashariki na kati.

Hatua alozichukua Hayati Mwalimu ni kweli alitaka kuiga Wachina, lakini alikosa watu wa kumsaidia kuangalia ni wapi afanye aloyataka au wapi aache kubana. Pia hata alipokuja mzee Mwinyi nae alishauriwa vibaya juu ya utandawazi na marekebisho ya Uchumi.

Alipokuja hayati Mkapa ndio akaharibu kabisa kwa kuachia njia kuu za uchumi kama benki ya NBC kwenda kwa wageni ambao walimiliki asilimia zaidi ya 60 nq hata yeye mwenye kujigawia sehemu ya rasilimali za taifa.

Mzee Kikwete yeye alitaka tu kufanya kitu chaitwa Checks and Balances (nafikiri wale mazee watanielewa hapa) na mwisho wake uchumi haujulikani umesimama wapi na nani audhibiti.

Alipokuja hayati JPM alijikuta amechelewa na sanasana akaamua kufanya aloyafanya na yalikuja kuleta athari kubwa maana hakujipanga sawasawa.

Wachina walijipanga kwa kila kitu kuanzia chama chenyewe cha CCP na hakukuwa na maombi popote pale ni kazi tu.

Unapofuata sera za Glasnost (uwazi) na Perestroika |(marekebisho) watakiwa kuwa mkweli na si mjanja kama Mikhail Gorbachev ambae kumbe kwa pembeni alikuwa aiuza USSR mpaka ikaanguka.

Lakini Wachina wamefuata kiukweli sera za Glasnost na Perestroika na le hii China ni nchi yenye uchumi mkubwa duniani.
Elimu mujarabu,Asante Kwa shule hii ya bure
 
Mkuu The Boss,

Ni kweli serikali ya China walimiliki njia kuu za uchumi na kupanga sera zote za uchumi kutoka serikalini (central Planning)

Lakini wachina walinza kurekebisha uchumi wao rasmi mwaka 1978 na wakati huo Tanzania sera za Azimio la Arusha zimeyumba sana.

Mabadiliko ya uchumi wa China yaliitwa Reform and Opening Up na yalibuniwa na Deng Xiaoping akiongoza wanamabadiliko wengine ndani ya chama cha kikomunisti cha China CCP.

Mabadiliko ya uchumi wa China yalikuwa ni mabadiliko kwelikweli kuanzia ndani ya China yenyewe yaani uwekezaji binafsi, ubunifu na ujasiriamali, na ukuzaji uchumi kwa ajili ya soko la ndani. Baada ya hatua hiyo Wachina wakaingia kwenye kuhakikisha waongeza umri wa kustaafu kazi, kudhibiti watu waso na kazi (unemployment) kwa kuhakikisha watu waenda kufanya kazi viwandani, kuhudumia walohitaji huduma za afya na mwisho kufanya mabadiliko katika makampuni na mashirika ya umma katika kuyaendesha na usimamizi wake.

Mwaka 1989 kukawa na matatizo ambayo yalipelekea kukawa na yale maandamano maarufu pale Tiananmen Square na kuna watu walizuia vifaru vya jeshi na watu wengi walikufa.

Maandamani yalee yalitokana na hali ngumu ya uchumi kwani ukianza kufanya mabadiliko ya uchumi ili uuweke sawa ni lazima kuna asilimia kubwa ya watu wataathirika na vyuma vitaanza kubana, na hapo Wachina walijiandaa kwa hilo.

Baada ya haya mambo ya maandamano kuisha mwaka 1992 bwana Deng Xiaoping akafanya ziara kubwa sana kusini mwa China kwenye miji ya Zhuhai, Ghuangzou, Shenzhen na Shanghai na hotuba yake ilikuwa ndo kiini cha miji hiyo kuwa ilivyo leo hii na Ghuangzou ukiwa kitovu cha biashara cha kimataifa.

Hotuba ya Xiaoping ilikuwa ni ya kusisimua na yenye kutia hamasa akasema, ataka mji wa Ghuangzou ufanane na nchi nne ziloitwa Four Asian Tigers ndani ya miaka 20.

Naam, mwaka 2014 China ilikuwa imeipita Japan na kuwa nchi ya pili kwa uchumi mkubwa duniani.

Hivyo, chama cha CCP walifanya na mambo makuu kwa hatua mbili kama yafuatayo:

Hatua ya kwanza

1. Kwa miaka 10 (1970 hadi 1980) kurekebisha njia zitumikazo kwa kilimo na kukifanya kiwe cha kisasa zaidi ili kupata mazao mengi kulisha nchi, kuweka akiba na kuuza nje.

2. Kufungua nchi kwa ajili ya mitaji ya moja kwamoja yaani Direct Investiment.

3. Kuruhusu wajasiriamali kufanya biashara bila woga na kuondoa urasimu.

4. Pamoja na hayo yote mashirika na makampuni ya umma yaliendelea kuwa chini ya serikali.

Hatua ya pili 1980- 1990

1. Kubinafsisha mashirika na makampuni ya umma au serikali kwa watu binafsi/makampuni binafsi ili wayaendeshe chini ya usimamizi mkali.

2. Kuingia mikataba na watu/ makampuni binafsi kuendesha makampuni na mashirika ya umma.

3. Kuondoa udhibiti wa bei na masoko.

4. Kuondoa sera na sheria ngumu zinodhibiti ukuaji wa biashara na mitaji yake.

5. Pamoja ya yote hapo juu bado njia kuu za uchumi kama mabenki, bandari, mashirika kama ya mafuta na rasilimali zingine yalibaki kuwa chini ya serikali.

Mambo haya niloeleza , ndiyo yaliifanya sekta binafsi nchini China kukuwa sana na GDP kufikia asilimia mwaka 2005 na wakti huo bwana Hu Jintao na baadae bwana Wen Jiabao wakiwa mawaziri wakuu waliendeleza libeneke na kuanzia hapo China ikawa tishio kwa Marekani.

CCM imekuwa madarakani tangia ilipoasisiwa kutoka TANU na imeshindwa kuiweka Tanzania katika moja ya mataifa bora kiuchumi katika eneo la maziwa makuu na ukanda wa Afrika Mashariki na kati.

Hatua alozichukua Hayati Mwalimu ni kweli alitaka kuiga Wachina, lakini alikosa watu wa kumsaidia kuangalia ni wapi afanye aloyataka au wapi aache kubana. Pia hata alipokuja mzee Mwinyi nae alishauriwa vibaya juu ya utandawazi na marekebisho ya Uchumi.

Alipokuja hayati Mkapa ndio akaharibu kabisa kwa kuachia njia kuu za uchumi kama benki ya NBC kwenda kwa wageni ambao walimiliki asilimia zaidi ya 60 nq hata yeye mwenye kujigawia sehemu ya rasilimali za taifa.

Mzee Kikwete yeye alitaka tu kufanya kitu chaitwa Checks and Balances (nafikiri wale mazee watanielewa hapa) na mwisho wake uchumi haujulikani umesimama wapi na nani audhibiti.

Alipokuja hayati JPM alijikuta amechelewa na sanasana akaamua kufanya aloyafanya na yalikuja kuleta athari kubwa maana hakujipanga sawasawa.

Wachina walijipanga kwa kila kitu kuanzia chama chenyewe cha CCP na hakukuwa na maombi popote pale ni kazi tu.

Unapofuata sera za Glasnost (uwazi) na Perestroika |(marekebisho) watakiwa kuwa mkweli na si mjanja kama Mikhail Gorbachev ambae kumbe kwa pembeni alikuwa aiuza USSR mpaka ikaanguka.

Lakini Wachina wamefuata kiukweli sera za Glasnost na Perestroika na le hii China ni nchi yenye uchumi mkubwa duniani.
Brilliant

One thing for sure… China imeprivatize enterprise yake lakini imeweka mikono na inasaidia sana private sector

Hakuna uchumi unaokua bila serikali kuibeba private sector na hakuna private sector inayokua bila kufungua mipaka Kwa wageni
 
 
Sometimes kuwatoa watu kwenye kiza unaweza ambulia matusi makubwa sana. Hadi watu hao wafike kwenye mwanga ndo wanakuja kugundua aaha kumbe tulikuwa tunakuja huku.
Kwanini tunabadilisha main topic kuhusu DPW? Yaani tumekua wajinga kiasi hiki kweli?
 
Mimi nakumbuka ule uzushi wa Riziwan kukamatwa China...huwa nacheka Sana ukiona mtu msomi anaongea vitu vya vijiwe vya bodaboda
Ukweli wa riziwani na madawa ya kulevya ninao mimi hata kijana wake mmoja alikuwa anaishi kinondoni na mwingine ukonga niponaye hapa jirani tu ....riziwani ni mwanachama wa genge moja mashuhuri la madawa ya kulevya duniani ....hata wewe mimi nakujua vizuri circle yako na wauza ngada...ilo genge linatumia sana watoto wa hovyo wa viongozi wakubwa ili kufanikisha biashara zao ...moja ya sera zao ni kuwavuta watoto wa viongozi wakubwa na viongozi wenyewe ili kutengeneza HEAVEN PEACE KWENYE HIYO BIASHARA YENU NA KUTAKATISHA PESA ZA HIZO BIASHARA
 
Utasemaje aliuza Loliondo wakati vibali vya uindaji vinatolewa na kufutwa na Rais yeyote?
Mkapa kwanini hakufuta? Kikwete? Magufuli??hao wote wasifute vibali ??
Au hajui ardhi yote Tanzania iko chini ya Rais??anaweza futa hati yeyote??
Umeelewa kuhusu Loliondo?

Lile eneo amekodishiwa Muarabu kimkataba kwa miaka 200, kwa miaka hiyo ni sawa kabisa na kusema ni eneo lake

Mkataba haumruhusu Mtanzania yeyote kufanya chochote pale hata kuwinda mnyama aliyepo eneo lile, mpaka Airport yake anayo

Sasa hapo hajauziwa?
 
Back
Top Bottom