Si hata Rais Mstaafu Mwinyi walisema anauza nchi? Kiko wapi?

Si hata Rais Mstaafu Mwinyi walisema anauza nchi? Kiko wapi?

View attachment 2678190

Huu wimbo wa kila Rais kuambiwa anauza nchi ulianza kwa Rais Mwinyi, unajua sababu ilikuwaje?

Baada ya Nyerere kwenda China mwaka 1966 akasema akakuta kule China kila kitu kinafanywa na serikali kuanzia maduka ya mchele na sigara hadi magari ya taxi na bakery za kuuza mikate.U communist ulikuwa umepamba Moto sana sana, ingawa leo wachina washaufuta kabisa huo ucommunits. Lakini kipindi Nyerere anaenda huko hadi Suti zile tunaita Kaunda Suit Nyerere alitoa huko kwa wachina. Waziri mkuu wao anaitwa Choun Enlai kama sikosei, Kaunda nae alizitoa huko huko kwa wachina.

Nyerere aliporudi mwaka 1967 akapitisha Azimio la Arusha na kuanza rasmi "siasa za Ujama na kujitegemea" na kutaiifisha biashara zote za watu binafsi na majumba yao na kampuni za Serikali za kuuza mchele na sigara zikaanzishwa kukaja RTC ikaja Co Cabs kampuni ya taxi ya serikali. RTC na maduka ya kijiji na mtaa na shirika la kusaga na kukoboa unga na Makampuni Tele Tele ya serikali.

Ikawa marufuku kwa mwananchi kumiliki taxi yako binafsi hata kununua gari tu Kwa kibali maalum kwanza. Ikawa marufuku kuwa hata na kiduka cha kuuza mchele na unga na sigara, ukifanya hivyo wewe ni mhujumu wa uchumi na bepari na mkabaila. Siasa hizo pia zilifanya kila shirika kuwe na ofisi ya CCM wananchi wanafundishwa utii na itikadi za siasa ya Ujamaa na kujitegemea.

Pamoja na mazuri mengi sana ya Nyerere na siasa ya Ujamaa na kujitegemea lakini ukweli usemwe ku copy kila kitu Kwa wachina bila kuangalia mazingira yetu alikosea sana hasa pale alipojaribu kuanzisha vijiji vya ujamaa. Watu wakaondolewa kwa nguvu kwenye mashamba yao wakalazimishwa kulima shamba la kijiji.

Wengine waliogoma wakachomewa nyumba zao moto waende wahamie kwenye vijiji vya ujamaa, wapo walioliwa na Simba na wengi walipohamia huko wakawa masikini zaidi. Hadi zoezi la vijiji vya ujamaa likapigwa stop, nchi ikaingia na njaa, uzalishaji ukapungua.

Kupata bidhaa kama sigara na mchele au unga ikawa Kwa kupanga foleni na kupigana vikumbo kwenye maduka ya vijiji na mitaa. Hali ikawa mbaya zaidi vita ya Uganda ilipofika.

Wakati Mwinyi anachukua nchi hali ilikuwa mbaya sana ikabidi aanze na kuruhusu watu binafsi wafanye biashara hizo ndogo ndogo kama kuuza mikate, mchele na sigara ili serikali itoke huko. Kampuni kama co cabs ya Taxi ikabidi iaachwe ife kifo cha kawaida, maduka ya RTC ikabidi nayo yafe, watu wenye exposure kidogo na biashara.

Wahindi, waarabu since Wana mitaji ya ndugu zao nje uzoefu wakawa wa kwanza kushika biashara hizo kabla ya waswahili, wachaga, wakinga n.k kuja later kuzishika na kuwa replace kabisa baadae. Wakati haya yote yanayokea alichoambulia Mwinyi ni matusi tu ya "kuuza nchi "na "kuwapa wahindi na waraabu" njia za uchumi as if kuna mswahili aliezuiwa kumiliki duka la kuuza mchele na sigara.

Leo hiii Kariakoo yote imejaa watu wa makabila tofauti, watu wamejiongeza now wanaenda wenyewe popote pale iwe China au Uturuki, haijalishi we mkinga au mchaga unafanya biashara popote Kwa uwezo wako wa akili na mtaji.

Popote leo ukianzisha mashine ya kusaga na kukoboa mchele au duka la jumla hakuna wa kukuita bepari wala kabaila, wala kukutisha.

Kilelele ilikuwa mwaka 1992 ambapo Mwinyi alifuta kabisa Azimio la Arusha na kuleta Azimio la Zanzibar ambalo lilipiga kabisa marufuku ya wananchi kunyayaswa Kwa aina yoyote kuhusu vibali vya biashara, wala kuuliza uliza watu kuhusu biashara wanazotaka kufanya na kuanza kuwaletea zengwe la "makabaila na mabepari"

Matusi aliyopata Mwinyi kuwa "anauza nchi" yalikuwa makubwa sana na mambo ya kumuita Mzanzibari tunataka Tanganyika yalikuwa mengi Sana kama sasa tu au pengine zaidi lakini alipokuja Rais Mtanganyika watu walikuwa tayari washazoea "matunda ya Rais Mwinyi' kiasi washasahau kuwa walikuwa wanataka turudi nyuma tena kwenye maduka ya serikali na taxi za Serikali na maduka ya vijiji na serikali kuuza mikate na sigara.

Sometimes kuwatoa watu kwenye kiza unaweza ambulia matusi makubwa sana. Hadi watu hao wafike kwenye mwanga ndo wanakuja kugundua aaha kumbe tulikuwa tunakuja huku.
Umeongea kweli tupu. Tuliokuwepo tunajua hali ilivyokuwa. Bahati mbaya sana, wengi wa wanaojifanya wachambuzi wa utawala walikuwa vijijini tena habari pekee enzi hizo ni RTD hivyo hawakuwa wakijua kilichokuwa kinaendelea mijini hasa Darisalaama. Rais Mwinyi ndiye muanzishi wa uchumi tunaouona leo. Ila kuna watu tayari wana maradhi mioyoni mwao, hawatataka kuelewa.
 
Utasemaje aliuza Loliondo wakati vibali vya uindaji vinatolewa na kufutwa na Rais yeyote?
Mkapa kwanini hakufuta? Kikwete? Magufuli??hao wote wasifute vibali ??
Au hajui ardhi yote Tanzania iko chini ya Rais??anaweza futa hati yeyote??
Kufuta mikataba holela ndio magufuli amesababisha ndege zinakamatwa huko nje.
 
View attachment 2678190

Huu wimbo wa kila Rais kuambiwa anauza nchi ulianza kwa Rais Mwinyi, unajua sababu ilikuwaje?

Baada ya Nyerere kwenda China mwaka 1966 akasema akakuta kule China kila kitu kinafanywa na serikali kuanzia maduka ya mchele na sigara hadi magari ya taxi na bakery za kuuza mikate.U communist ulikuwa umepamba Moto sana sana, ingawa leo wachina washaufuta kabisa huo ucommunits. Lakini kipindi Nyerere anaenda huko hadi Suti zile tunaita Kaunda Suit Nyerere alitoa huko kwa wachina. Waziri mkuu wao anaitwa Choun Enlai kama sikosei, Kaunda nae alizitoa huko huko kwa wachina.

Nyerere aliporudi mwaka 1967 akapitisha Azimio la Arusha na kuanza rasmi "siasa za Ujama na kujitegemea" na kutaiifisha biashara zote za watu binafsi na majumba yao na kampuni za Serikali za kuuza mchele na sigara zikaanzishwa kukaja RTC ikaja Co Cabs kampuni ya taxi ya serikali. RTC na maduka ya kijiji na mtaa na shirika la kusaga na kukoboa unga na Makampuni Tele Tele ya serikali.

Ikawa marufuku kwa mwananchi kumiliki taxi yako binafsi hata kununua gari tu Kwa kibali maalum kwanza. Ikawa marufuku kuwa hata na kiduka cha kuuza mchele na unga na sigara, ukifanya hivyo wewe ni mhujumu wa uchumi na bepari na mkabaila. Siasa hizo pia zilifanya kila shirika kuwe na ofisi ya CCM wananchi wanafundishwa utii na itikadi za siasa ya Ujamaa na kujitegemea.

Pamoja na mazuri mengi sana ya Nyerere na siasa ya Ujamaa na kujitegemea lakini ukweli usemwe ku copy kila kitu Kwa wachina bila kuangalia mazingira yetu alikosea sana hasa pale alipojaribu kuanzisha vijiji vya ujamaa. Watu wakaondolewa kwa nguvu kwenye mashamba yao wakalazimishwa kulima shamba la kijiji.

Wengine waliogoma wakachomewa nyumba zao moto waende wahamie kwenye vijiji vya ujamaa, wapo walioliwa na Simba na wengi walipohamia huko wakawa masikini zaidi. Hadi zoezi la vijiji vya ujamaa likapigwa stop, nchi ikaingia na njaa, uzalishaji ukapungua.

Kupata bidhaa kama sigara na mchele au unga ikawa Kwa kupanga foleni na kupigana vikumbo kwenye maduka ya vijiji na mitaa. Hali ikawa mbaya zaidi vita ya Uganda ilipofika.

Wakati Mwinyi anachukua nchi hali ilikuwa mbaya sana ikabidi aanze na kuruhusu watu binafsi wafanye biashara hizo ndogo ndogo kama kuuza mikate, mchele na sigara ili serikali itoke huko. Kampuni kama co cabs ya Taxi ikabidi iaachwe ife kifo cha kawaida, maduka ya RTC ikabidi nayo yafe, watu wenye exposure kidogo na biashara.

Wahindi, waarabu since Wana mitaji ya ndugu zao nje uzoefu wakawa wa kwanza kushika biashara hizo kabla ya waswahili, wachaga, wakinga n.k kuja later kuzishika na kuwa replace kabisa baadae. Wakati haya yote yanayokea alichoambulia Mwinyi ni matusi tu ya "kuuza nchi "na "kuwapa wahindi na waraabu" njia za uchumi as if kuna mswahili aliezuiwa kumiliki duka la kuuza mchele na sigara.

Leo hiii Kariakoo yote imejaa watu wa makabila tofauti, watu wamejiongeza now wanaenda wenyewe popote pale iwe China au Uturuki, haijalishi we mkinga au mchaga unafanya biashara popote Kwa uwezo wako wa akili na mtaji.

Popote leo ukianzisha mashine ya kusaga na kukoboa mchele au duka la jumla hakuna wa kukuita bepari wala kabaila, wala kukutisha.

Kilelele ilikuwa mwaka 1992 ambapo Mwinyi alifuta kabisa Azimio la Arusha na kuleta Azimio la Zanzibar ambalo lilipiga kabisa marufuku ya wananchi kunyayaswa Kwa aina yoyote kuhusu vibali vya biashara, wala kuuliza uliza watu kuhusu biashara wanazotaka kufanya na kuanza kuwaletea zengwe la "makabaila na mabepari"

Matusi aliyopata Mwinyi kuwa "anauza nchi" yalikuwa makubwa sana na mambo ya kumuita Mzanzibari tunataka Tanganyika yalikuwa mengi Sana kama sasa tu au pengine zaidi lakini alipokuja Rais Mtanganyika watu walikuwa tayari washazoea "matunda ya Rais Mwinyi' kiasi washasahau kuwa walikuwa wanataka turudi nyuma tena kwenye maduka ya serikali na taxi za Serikali na maduka ya vijiji na serikali kuuza mikate na sigara.

Sometimes kuwatoa watu kwenye kiza unaweza ambulia matusi makubwa sana. Hadi watu hao wafike kwenye mwanga ndo wanakuja kugundua aaha kumbe tulikuwa tunakuja huku.
Mie sitasahau kipindi cha JK

Kila petrol station mpya inayojengwa walikuwa wanasema ya Ridhiwani. Baada ya Mzee Kikwete kutoka madarakani yale maneno yote yalipotea alafu watu wakajikausha kama sio wao
 
Mie sitasahau kipindi cha JK

Kila petrol station mpya inayojengwa walikuwa wanasema ya Ridhiwani. Baada ya Mzee Kikwete kutoka madarakani yale maneno yote yalipotea alafu watu wakajikausha kama sio wao
Mimi nakumbuka ule uzushi wa Riziwan kukamatwa China...huwa nacheka Sana ukiona mtu msomi anaongea vitu vya vijiwe vya bodaboda
 
View attachment 2678190

Huu wimbo wa kila Rais kuambiwa anauza nchi ulianza kwa Rais Mwinyi, unajua sababu ilikuwaje?

Baada ya Nyerere kwenda China mwaka 1966 akasema akakuta kule China kila kitu kinafanywa na serikali kuanzia maduka ya mchele na sigara hadi magari ya taxi na bakery za kuuza mikate.U communist ulikuwa umepamba Moto sana sana, ingawa leo wachina washaufuta kabisa huo ucommunits. Lakini kipindi Nyerere anaenda huko hadi Suti zile tunaita Kaunda Suit Nyerere alitoa huko kwa wachina. Waziri mkuu wao anaitwa Choun Enlai kama sikosei, Kaunda nae alizitoa huko huko kwa wachina.

Nyerere aliporudi mwaka 1967 akapitisha Azimio la Arusha na kuanza rasmi "siasa za Ujama na kujitegemea" na kutaiifisha biashara zote za watu binafsi na majumba yao na kampuni za Serikali za kuuza mchele na sigara zikaanzishwa kukaja RTC ikaja Co Cabs kampuni ya taxi ya serikali. RTC na maduka ya kijiji na mtaa na shirika la kusaga na kukoboa unga na Makampuni Tele Tele ya serikali.

Ikawa marufuku kwa mwananchi kumiliki taxi yako binafsi hata kununua gari tu Kwa kibali maalum kwanza. Ikawa marufuku kuwa hata na kiduka cha kuuza mchele na unga na sigara, ukifanya hivyo wewe ni mhujumu wa uchumi na bepari na mkabaila. Siasa hizo pia zilifanya kila shirika kuwe na ofisi ya CCM wananchi wanafundishwa utii na itikadi za siasa ya Ujamaa na kujitegemea.

Pamoja na mazuri mengi sana ya Nyerere na siasa ya Ujamaa na kujitegemea lakini ukweli usemwe ku copy kila kitu Kwa wachina bila kuangalia mazingira yetu alikosea sana hasa pale alipojaribu kuanzisha vijiji vya ujamaa. Watu wakaondolewa kwa nguvu kwenye mashamba yao wakalazimishwa kulima shamba la kijiji.

Wengine waliogoma wakachomewa nyumba zao moto waende wahamie kwenye vijiji vya ujamaa, wapo walioliwa na Simba na wengi walipohamia huko wakawa masikini zaidi. Hadi zoezi la vijiji vya ujamaa likapigwa stop, nchi ikaingia na njaa, uzalishaji ukapungua.

Kupata bidhaa kama sigara na mchele au unga ikawa Kwa kupanga foleni na kupigana vikumbo kwenye maduka ya vijiji na mitaa. Hali ikawa mbaya zaidi vita ya Uganda ilipofika.

Wakati Mwinyi anachukua nchi hali ilikuwa mbaya sana ikabidi aanze na kuruhusu watu binafsi wafanye biashara hizo ndogo ndogo kama kuuza mikate, mchele na sigara ili serikali itoke huko. Kampuni kama co cabs ya Taxi ikabidi iaachwe ife kifo cha kawaida, maduka ya RTC ikabidi nayo yafe, watu wenye exposure kidogo na biashara.

Wahindi, waarabu since Wana mitaji ya ndugu zao nje uzoefu wakawa wa kwanza kushika biashara hizo kabla ya waswahili, wachaga, wakinga n.k kuja later kuzishika na kuwa replace kabisa baadae. Wakati haya yote yanayokea alichoambulia Mwinyi ni matusi tu ya "kuuza nchi "na "kuwapa wahindi na waraabu" njia za uchumi as if kuna mswahili aliezuiwa kumiliki duka la kuuza mchele na sigara.

Leo hiii Kariakoo yote imejaa watu wa makabila tofauti, watu wamejiongeza now wanaenda wenyewe popote pale iwe China au Uturuki, haijalishi we mkinga au mchaga unafanya biashara popote Kwa uwezo wako wa akili na mtaji.

Popote leo ukianzisha mashine ya kusaga na kukoboa mchele au duka la jumla hakuna wa kukuita bepari wala kabaila, wala kukutisha.

Kilelele ilikuwa mwaka 1992 ambapo Mwinyi alifuta kabisa Azimio la Arusha na kuleta Azimio la Zanzibar ambalo lilipiga kabisa marufuku ya wananchi kunyayaswa Kwa aina yoyote kuhusu vibali vya biashara, wala kuuliza uliza watu kuhusu biashara wanazotaka kufanya na kuanza kuwaletea zengwe la "makabaila na mabepari"

Matusi aliyopata Mwinyi kuwa "anauza nchi" yalikuwa makubwa sana na mambo ya kumuita Mzanzibari tunataka Tanganyika yalikuwa mengi Sana kama sasa tu au pengine zaidi lakini alipokuja Rais Mtanganyika watu walikuwa tayari washazoea "matunda ya Rais Mwinyi' kiasi washasahau kuwa walikuwa wanataka turudi nyuma tena kwenye maduka ya serikali na taxi za Serikali na maduka ya vijiji na serikali kuuza mikate na sigara.

Sometimes kuwatoa watu kwenye kiza unaweza ambulia matusi makubwa sana. Hadi watu hao wafike kwenye mwanga ndo wanakuja kugundua aaha kumbe tulikuwa tunakuja huku.
Sawa endeleeni na yenu bana simshasaini tabu iko wapi. Msituchoshe
 
Umeongea kweli tupu. Tuliokuwepo tunajua hali ilivyokuwa. Bahati mbaya sana, wengi wa wanaojifanya wachambuzi wa utawala walikuwa vijijini tena habari pekee enzi hizo ni RTD hivyo hawakuwa wakijua kilichokuwa kinaendelea mijini hasa Darisalaama. Rais Mwinyi ndiye muanzishi wa uchumi tunaouona leo. Ila kuna watu tayari wana maradhi mioyoni mwao, hawatataka kuelewa.
Mzee Mwinyi alikuwa na wazo hilo zuri na kutokana na washauri wake aliona ajaribu kurekebisha uchumi kupitia ushauri pia wa IMF na WB.

Usisahau kwamba hata hayati Nyerere sera zake ziliingiliwa na mipango mipya ya IMF na WB ambayo ilisisitiza kuwepo marekebisho ya uchumi (restructuring) na hiyo ilitokana na hali mbaya ilotokana na athari za vita ya Uganda.

China hawakuwa na ushauri wowote wa IMF wala WB na walianza kazi moja kwa moja.

Hivyo tukiongelea sera za uchumi za Tanzania tusisahau mikopo na kamba za masharti kutokea IMF na WB.

Je, wafahamu pia kuwa China haikuwa mwanachama wa WTO hadi mwaka 2001 ilipojiunga rasmi na walikuwa na sababu ya kufanya hivyo.

Sababu kubwa ni kwamba uchumi wa China wafuata modeli tofauti kabisa na kanuni au framework ya WTO hivyo China hawakutaka hiyo framework ya WTO ambayo nchi nyingi duniani zimebanwa nayo.

Hivyo ni kweli mzee Mwinyi alianzisha mambo hayo ya Trade Liberalization lakini alihitaji mipango thabiti khasa hali ya uchumi wa ndani, kiwango cha watu wasoajiriwa na masuala mengine "domestically" kabla ya kwenda kuingiza kila kitu ndani ya nchi kutoka nje.
 
View attachment 2678190

Huu wimbo wa kila Rais kuambiwa anauza nchi ulianza kwa Rais Mwinyi, unajua sababu ilikuwaje?

Baada ya Nyerere kwenda China mwaka 1966 akasema akakuta kule China kila kitu kinafanywa na serikali kuanzia maduka ya mchele na sigara hadi magari ya taxi na bakery za kuuza mikate.U communist ulikuwa umepamba Moto sana sana, ingawa leo wachina washaufuta kabisa huo ucommunits. Lakini kipindi Nyerere anaenda huko hadi Suti zile tunaita Kaunda Suit Nyerere alitoa huko kwa wachina. Waziri mkuu wao anaitwa Choun Enlai kama sikosei, Kaunda nae alizitoa huko huko kwa wachina.

Nyerere aliporudi mwaka 1967 akapitisha Azimio la Arusha na kuanza rasmi "siasa za Ujama na kujitegemea" na kutaiifisha biashara zote za watu binafsi na majumba yao na kampuni za Serikali za kuuza mchele na sigara zikaanzishwa kukaja RTC ikaja Co Cabs kampuni ya taxi ya serikali. RTC na maduka ya kijiji na mtaa na shirika la kusaga na kukoboa unga na Makampuni Tele Tele ya serikali.

Ikawa marufuku kwa mwananchi kumiliki taxi yako binafsi hata kununua gari tu Kwa kibali maalum kwanza. Ikawa marufuku kuwa hata na kiduka cha kuuza mchele na unga na sigara, ukifanya hivyo wewe ni mhujumu wa uchumi na bepari na mkabaila. Siasa hizo pia zilifanya kila shirika kuwe na ofisi ya CCM wananchi wanafundishwa utii na itikadi za siasa ya Ujamaa na kujitegemea.

Pamoja na mazuri mengi sana ya Nyerere na siasa ya Ujamaa na kujitegemea lakini ukweli usemwe ku copy kila kitu Kwa wachina bila kuangalia mazingira yetu alikosea sana hasa pale alipojaribu kuanzisha vijiji vya ujamaa. Watu wakaondolewa kwa nguvu kwenye mashamba yao wakalazimishwa kulima shamba la kijiji.

Wengine waliogoma wakachomewa nyumba zao moto waende wahamie kwenye vijiji vya ujamaa, wapo walioliwa na Simba na wengi walipohamia huko wakawa masikini zaidi. Hadi zoezi la vijiji vya ujamaa likapigwa stop, nchi ikaingia na njaa, uzalishaji ukapungua.

Kupata bidhaa kama sigara na mchele au unga ikawa Kwa kupanga foleni na kupigana vikumbo kwenye maduka ya vijiji na mitaa. Hali ikawa mbaya zaidi vita ya Uganda ilipofika.

Wakati Mwinyi anachukua nchi hali ilikuwa mbaya sana ikabidi aanze na kuruhusu watu binafsi wafanye biashara hizo ndogo ndogo kama kuuza mikate, mchele na sigara ili serikali itoke huko. Kampuni kama co cabs ya Taxi ikabidi iaachwe ife kifo cha kawaida, maduka ya RTC ikabidi nayo yafe, watu wenye exposure kidogo na biashara.

Wahindi, waarabu since Wana mitaji ya ndugu zao nje uzoefu wakawa wa kwanza kushika biashara hizo kabla ya waswahili, wachaga, wakinga n.k kuja later kuzishika na kuwa replace kabisa baadae. Wakati haya yote yanayokea alichoambulia Mwinyi ni matusi tu ya "kuuza nchi "na "kuwapa wahindi na waraabu" njia za uchumi as if kuna mswahili aliezuiwa kumiliki duka la kuuza mchele na sigara.

Leo hiii Kariakoo yote imejaa watu wa makabila tofauti, watu wamejiongeza now wanaenda wenyewe popote pale iwe China au Uturuki, haijalishi we mkinga au mchaga unafanya biashara popote Kwa uwezo wako wa akili na mtaji.

Popote leo ukianzisha mashine ya kusaga na kukoboa mchele au duka la jumla hakuna wa kukuita bepari wala kabaila, wala kukutisha.

Kilelele ilikuwa mwaka 1992 ambapo Mwinyi alifuta kabisa Azimio la Arusha na kuleta Azimio la Zanzibar ambalo lilipiga kabisa marufuku ya wananchi kunyayaswa Kwa aina yoyote kuhusu vibali vya biashara, wala kuuliza uliza watu kuhusu biashara wanazotaka kufanya na kuanza kuwaletea zengwe la "makabaila na mabepari"

Matusi aliyopata Mwinyi kuwa "anauza nchi" yalikuwa makubwa sana na mambo ya kumuita Mzanzibari tunataka Tanganyika yalikuwa mengi Sana kama sasa tu au pengine zaidi lakini alipokuja Rais Mtanganyika watu walikuwa tayari washazoea "matunda ya Rais Mwinyi' kiasi washasahau kuwa walikuwa wanataka turudi nyuma tena kwenye maduka ya serikali na taxi za Serikali na maduka ya vijiji na serikali kuuza mikate na sigara.

Sometimes kuwatoa watu kwenye kiza unaweza ambulia matusi makubwa sana. Hadi watu hao wafike kwenye mwanga ndo wanakuja kugundua aaha kumbe tulikuwa tunakuja huku.
We jamaa unachokitetea sijui ni nini
 
View attachment 2678190

Huu wimbo wa kila Rais kuambiwa anauza nchi ulianza kwa Rais Mwinyi, unajua sababu ilikuwaje?

Baada ya Nyerere kwenda China mwaka 1966 akasema akakuta kule China kila kitu kinafanywa na serikali kuanzia maduka ya mchele na sigara hadi magari ya taxi na bakery za kuuza mikate.U communist ulikuwa umepamba Moto sana sana, ingawa leo wachina washaufuta kabisa huo ucommunits. Lakini kipindi Nyerere anaenda huko hadi Suti zile tunaita Kaunda Suit Nyerere alitoa huko kwa wachina. Waziri mkuu wao anaitwa Choun Enlai kama sikosei, Kaunda nae alizitoa huko huko kwa wachina.

Nyerere aliporudi mwaka 1967 akapitisha Azimio la Arusha na kuanza rasmi "siasa za Ujama na kujitegemea" na kutaiifisha biashara zote za watu binafsi na majumba yao na kampuni za Serikali za kuuza mchele na sigara zikaanzishwa kukaja RTC ikaja Co Cabs kampuni ya taxi ya serikali. RTC na maduka ya kijiji na mtaa na shirika la kusaga na kukoboa unga na Makampuni Tele Tele ya serikali.

Ikawa marufuku kwa mwananchi kumiliki taxi yako binafsi hata kununua gari tu Kwa kibali maalum kwanza. Ikawa marufuku kuwa hata na kiduka cha kuuza mchele na unga na sigara, ukifanya hivyo wewe ni mhujumu wa uchumi na bepari na mkabaila. Siasa hizo pia zilifanya kila shirika kuwe na ofisi ya CCM wananchi wanafundishwa utii na itikadi za siasa ya Ujamaa na kujitegemea.

Pamoja na mazuri mengi sana ya Nyerere na siasa ya Ujamaa na kujitegemea lakini ukweli usemwe ku copy kila kitu Kwa wachina bila kuangalia mazingira yetu alikosea sana hasa pale alipojaribu kuanzisha vijiji vya ujamaa. Watu wakaondolewa kwa nguvu kwenye mashamba yao wakalazimishwa kulima shamba la kijiji.

Wengine waliogoma wakachomewa nyumba zao moto waende wahamie kwenye vijiji vya ujamaa, wapo walioliwa na Simba na wengi walipohamia huko wakawa masikini zaidi. Hadi zoezi la vijiji vya ujamaa likapigwa stop, nchi ikaingia na njaa, uzalishaji ukapungua.

Kupata bidhaa kama sigara na mchele au unga ikawa Kwa kupanga foleni na kupigana vikumbo kwenye maduka ya vijiji na mitaa. Hali ikawa mbaya zaidi vita ya Uganda ilipofika.

Wakati Mwinyi anachukua nchi hali ilikuwa mbaya sana ikabidi aanze na kuruhusu watu binafsi wafanye biashara hizo ndogo ndogo kama kuuza mikate, mchele na sigara ili serikali itoke huko. Kampuni kama co cabs ya Taxi ikabidi iaachwe ife kifo cha kawaida, maduka ya RTC ikabidi nayo yafe, watu wenye exposure kidogo na biashara.

Wahindi, waarabu since Wana mitaji ya ndugu zao nje uzoefu wakawa wa kwanza kushika biashara hizo kabla ya waswahili, wachaga, wakinga n.k kuja later kuzishika na kuwa replace kabisa baadae. Wakati haya yote yanayokea alichoambulia Mwinyi ni matusi tu ya "kuuza nchi "na "kuwapa wahindi na waraabu" njia za uchumi as if kuna mswahili aliezuiwa kumiliki duka la kuuza mchele na sigara.

Leo hiii Kariakoo yote imejaa watu wa makabila tofauti, watu wamejiongeza now wanaenda wenyewe popote pale iwe China au Uturuki, haijalishi we mkinga au mchaga unafanya biashara popote Kwa uwezo wako wa akili na mtaji.

Popote leo ukianzisha mashine ya kusaga na kukoboa mchele au duka la jumla hakuna wa kukuita bepari wala kabaila, wala kukutisha.

Kilelele ilikuwa mwaka 1992 ambapo Mwinyi alifuta kabisa Azimio la Arusha na kuleta Azimio la Zanzibar ambalo lilipiga kabisa marufuku ya wananchi kunyayaswa Kwa aina yoyote kuhusu vibali vya biashara, wala kuuliza uliza watu kuhusu biashara wanazotaka kufanya na kuanza kuwaletea zengwe la "makabaila na mabepari"

Matusi aliyopata Mwinyi kuwa "anauza nchi" yalikuwa makubwa sana na mambo ya kumuita Mzanzibari tunataka Tanganyika yalikuwa mengi Sana kama sasa tu au pengine zaidi lakini alipokuja Rais Mtanganyika watu walikuwa tayari washazoea "matunda ya Rais Mwinyi' kiasi washasahau kuwa walikuwa wanataka turudi nyuma tena kwenye maduka ya serikali na taxi za Serikali na maduka ya vijiji na serikali kuuza mikate na sigara.

Sometimes kuwatoa watu kwenye kiza unaweza ambulia matusi makubwa sana. Hadi watu hao wafike kwenye mwanga ndo wanakuja kugundua aaha kumbe tulikuwa tunakuja huku.
Asante sana Mkuu umenikumbusha mbali sana 1983 nauza dawa za mbu za vipande na mimi nilikuwa kataka kundi la watu wanaoitwa walanguzi kipindi hicho maisha yalikuwa magumu usipime

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Mzee Mwinyi: Mambo yaliyotushinda sisi Marais Watatu kwa miaka 30 Shujaa Magufuli ameyafanya kwa miaka 3
Mzee Mjanja yule

alijua kupata cha kwny uvungu wa Mjinga we mpe misifa tu

mwanae sasa hivi anatembelea ving'ora kutokana na ile misifa

Mwinyi na Familia yake wanakula Matunda ya Uhuru, Muungano na Mapinduzi matukufu kuliko familia yeyote ile japo hakushiriki harakati za uhuru, Mapinduzi wala Muungano
 
Asante sana Mkuu umenikumbusha mbali sana 1983 nauza dawa za mbu za vipande na mimi nilikuwa kataka kundi la watu wanaoitwa walanguzi kipindi hicho maisha yalikuwa magumu usipime

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Zile dawa hovyo, maana zawalevya mbu kisha mbu hao baadae huamka na kurudi kwenye eneo la tukio (kwenye ngozi za watu) kuendelea na kazi.

Baada ya wiki mbili mtu na homa ya malaria.
 
Mzee Mjanja yule

alijua kupata cha kwny uvungu wa Mjinga we mpe misifa tu

mwanae sasa hivi anatembelea ving'ora kutokana na ile misifa

Mwinyi na Familia yake wanakula Matunda ya Uhuru, Muungano na Mapinduzi matukufu kuliko familia yeyote ile japo hakushiriki harakati za uhuru, Mapinduzi wala Muungano
Akili ni nywele

Hakuna binadamu asiyependa Sifa!
 
Je, wafahamu pia kuwa China haikuwa mwanachama wa WTO hadi mwaka 2001 ilipojiunga rasmi na walikuwa na sababu ya kufanya hivyo.

Sababu kubwa ni kwamba uchumi wa China wafuata modeli tofauti kabisa na kanuni au framework ya WTO hivyo China hawakutaka hiyo framework ya WTO ambayo nchi nyingi duniani zimebanwa nayo.
Jiridhishe na fact zako mkuu. China alitamani awe founding member wa GATT/WTO lakini attempts zake ziliwekewa ngumu na US, EU, Japan na si kwamba mwenyewe hakuwa akitaka. Yes, sababu kubwa yakukataliwa kujiunga ni kutakiwa kutekeleza sera za uchumi wa Soko.

Kumbuka China kukua kwake kiuchumi kulichangiwa sana na Marekani ambapo mbali ya mikopo aliyopewa lakini pia alipewa "most favoured nation" status na US. Hii ni kwasababu China alikuwa na makubaliano maalum ya kununua industrial goods kutoka US na kuuza pamba yake US akibadilishana na mattekta kabla hajafanya u-turn.

Alipopunguziwa favor za kufaidika na masoko ya EU na US, huku mpango wake wa "modernization program" ulipofanikiwa, hakuwa na namna zaidi ya kukubali masharti ya uchumi wa Soko na hivyo kuwa mwanachama wa WTO.
 
Mbona unachanganya limao na machungwa,kwa kila kipindi Dunia huwa inapitia kwenye hatua fulani au njia fulani za kiuchumi.By that time Nyerere ana opt Sera za kijamaa-ndicho kipindi ambacho Sera hiyo ilikuwa inasambaa duniani kote huku kinara wake akiwa U.S.S.R.

USA na west countries ziliogopa kukua kwa Sera hiyo kwenye Nchi za Ulaya mashariki,Asia na Afrika.Ndipo wakaja na mkakati maalumu wa kuudhofisha Sera hiyo na kupropaganda Sera ya ubepari.

Mwinyi kuruhusu biashara huria hakuwa chaguo but ilikuwa ni lazima kutokana na hali halisi ya mazingira ya kiuchumi yalivyokuwa Tanzani na duniani.
 
Mimi nakumbuka ule uzushi wa Riziwan kukamatwa China...huwa nacheka Sana ukiona mtu msomi anaongea vitu vya vijiwe vya bodaboda
Nchi ina watu wapuuzi sana hii. Yale majengo ya makambi ya majeshi yaliyokuwa yanajengwa Msata ati ya Rizwan. Barabara ya Bypass kutoka Tanga kupitia Msoga kama unaenda Morogoro ulipingwa pia at Rizwan ndo kaamrisha.. Barabara ya Bagamoyo Msata ilipingwa kwamba anajipndelea.
 
Back
Top Bottom