Unapokwenda kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura hapaswi kutaja chama chako cha siasa na huu sio wakati wa kampeni.
Ni makosa makubwa kwa vyama vya siasa kuwa wasimamizi kwenye zoezi la uandikishaji wa wapiga kura. Kwenye daftari la wapiga kura hatuandikishi CCM, CHADEMA, etc bali tunaandikisha mtanzania mwenye sifa za kupiga kura.
Kumbukumbu za walioandikishwa hazitunzwi na vyama vya siasa bali na Tume huru ya uchaguzi.
Daftari la wapiga kura sio la chama fulani ni mali ya tume ya uchaguzi.
Uwakala wa vyama kwenye zoezi la wapiga kura ni jambo batili kabisa na halina mantiki yoyote na ni kiashiria kikubwa cha uvunjifu wa demokrasia.
Mtu hapaswi kuandikishwa kwa sababu eti atapigia kura CCM au CHADEMA! Inashangaza mno kuona jambo hili batili kabisa likifanywa na kusimamiwa kana kwamba ni jambo sahihi.
Ni makosa makubwa kwa vyama vya siasa kuwa wasimamizi kwenye zoezi la uandikishaji wa wapiga kura. Kwenye daftari la wapiga kura hatuandikishi CCM, CHADEMA, etc bali tunaandikisha mtanzania mwenye sifa za kupiga kura.
Kumbukumbu za walioandikishwa hazitunzwi na vyama vya siasa bali na Tume huru ya uchaguzi.
Daftari la wapiga kura sio la chama fulani ni mali ya tume ya uchaguzi.
Uwakala wa vyama kwenye zoezi la wapiga kura ni jambo batili kabisa na halina mantiki yoyote na ni kiashiria kikubwa cha uvunjifu wa demokrasia.
Mtu hapaswi kuandikishwa kwa sababu eti atapigia kura CCM au CHADEMA! Inashangaza mno kuona jambo hili batili kabisa likifanywa na kusimamiwa kana kwamba ni jambo sahihi.