Wakuu salaam,
Kama upo kwenye harakati za kuoa, unapaswa kujua si kila mwanamke asemae yes kwako anafaa kuolewa.
Wanawake ni viumbe, wanaoujua sana kuzitumia fursa zilizo mbele yao, hivo anaweza sema yes kwako, coz amekuona fursa ya kumsogeza pahala.
Mwanamke akisema yes kwako, unapaswa kumpima kwa kumcheleweshea mahitaji yake/kuunda matatizo fake mara kadhaa ili uzione reaction zake.
Kupitia reaction zake, utapata majibu kama anakupenda/nitapeli anaekutumia kama fursa ya kumsogeza pahala.
Kama upo kwenye harakati za kuoa, unapaswa kujua si kila mwanamke asemae yes kwako anafaa kuolewa.
Wanawake ni viumbe, wanaoujua sana kuzitumia fursa zilizo mbele yao, hivo anaweza sema yes kwako, coz amekuona fursa ya kumsogeza pahala.
Mwanamke akisema yes kwako, unapaswa kumpima kwa kumcheleweshea mahitaji yake/kuunda matatizo fake mara kadhaa ili uzione reaction zake.
Kupitia reaction zake, utapata majibu kama anakupenda/nitapeli anaekutumia kama fursa ya kumsogeza pahala.