SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Wewe si ulikuwa unarusha mimate humu kuwa washabiki wa Yanga ni watulivu na wastaarabu? Wakatae sasa hao useme ni wa Simba. Kwenye mashinano haya miamala haifanyi kazi.Huwa sina kabisa muda wa kusikiliza ujinga
Mko busy kuijadili Yanga, huku timu yenu yenyewe ni tia maji tia maji! Yanga imetoa tu sare! Imecheza mpira mkubwa! Na kila mtu ameona...
Watanzania ni watu wa ajabu sana na wenye kulalamika sana yani mtanzania ni kiumbe kigumu na chenye kulalamika kwa kila kituMechi 43 unbeaten halafu kuna mbumbumbu mmoja ameshiba njugu mawe anakuja kusema Prof ameishiwa mbinu hivi uko sawasawa kweli wewe...
Abadili mbinu tu kule mbele awek double strikesMechi tano kama sio nne mfululizo anasindwa kupata goli 1st half,inawezekana hana tena mbinu mpya au suala la kumuachia jukumu la kufunga braza mayele ndio shida....
Yeah acheze 442 hata me inanipa sana matokeo dream league onlineabadili mbinu tu kule mbele awek double strikes
eb njoo inbox natak mechi na ww c unachez dls wwYeah acheze 442 hata me inanipa sana matokeo dream league online
Huu ndio mpira mkubwa mliocheza??Mko busy kuijadili Yanga, huku timu yenu yenyewe ni tia maji tia maji! Yanga imetoa tu sare! Imecheza mpira mkubwa! Na kila mtu ameona!!
Ila nyinyi kwa sababu ya umbumbumbu wenu, mko busy na Yanga! Kana kwamba hakina kinachoendelea kwenye timu yenu!
Hakika Ismail Addn Rage hakukosea pale alipowaita mbumbumbu! Aisee mnastahili kabisa. Leo mkifungwa tutaona tu kelele zenu humu za kumkataa Matola, Mgunda na CEO Barbara!! Na hii ndiyo maana halisi ya kuitwa mbumbumbu.
Shots on target 3 kwa 6Mechi 43 unbeaten halafu kuna mbumbumbu mmoja ameshiba njugu mawe anakuja kusema Prof ameishiwa mbinu hivi uko sawasawa kweli wewe?
Umechezwa mpira mkubwa dhidi ya timu kubwa ulikua unategemea nini? Wame tengeneza nafasi zao na sisi tumetengeneza za kwetu lakini wao ndio wanaonekana zaidi kuliko sisi(ushabiki)
Mnaweza kupuga majungu kwa mashabiki wasiokuwa na uelewa mkubwa wa mpira na sio kwa sisi. Halafu inatosha hebu mrudi na nyie mna kipengele huko ugenini
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo mpira mkubwa unapimwa kwa shorts on tatget tu!Huu ndio mpira mkubwa mliocheza??
Shots on target 3 kwa 6View attachment 2381335
Hao ni mbumbumbu wenzako. Mashabiki wa Yanga hatuna mihemko ya kipuuzi.Wewe si ulikuwa unarusha mimate humu kuwa washabiki wa Yanga ni watulivu na wastaarabu? Wakatae sasa hao useme ni wa Simba. Kwenye mashinano haya miamala haifanyi kazi.
kumbe hata Makolo hupokea bahasha za Yanga[emoji16][emoji16][emoji16]Huku kimataifa hakuna vibahasha, kazi kazi
Pitia takwimu zote za mchezo kisha tafakari unachokibishia!!Huu ndio mpira mkubwa mliocheza??
Shots on target 3 kwa 6View attachment 2381335
Kwenye hiyo unbeaten ya michezo 43, Simba amekutana na Yanga kwenye mechi 5, yaani klabu ya Simba ilikuwa na mechi 5 (mechi nyingi zaidi kuliko timu yoyote ile) za kuvuruga unbeaten ya Yanga Ila Hali imekua tofauti. Ni Simba ambao wamechangia unbeaten ya Yanga kwa mechi nyingi kuliko timu yoyote iliyokutana na Yanga kwenye unbeaten hiyo, swali ni kuwa je, Simba nayo imenunuliwa kwenye michezo mi 5 mfululizo asimfunge Yanga?Unbeaten kwa kununua mechi na kuhonga marefa mkalemaa sasa dawa inawaingia..
Tena uliorekodiwa na kolo mwenzao aliyejuficha kwenye timu ya mabingwa YANGA wa NBC premium league 2021 - 2022 [emoji1787]Huwa sina kabisa muda wa kusikiliza ujinga
Kama mnafungwa na vinyesi FC ninyi si ni funza kabisa walio nyoro nyoro kama makamasi ya kike [emoji1]Sisi mbumbumbu ila nyie vinyesi, hamnazo, nyani, utopolo, malalamiko fc, kidimbwi fc, miamala fc [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] na mwendo umeumaliza poleee
MAKOLOKOLO FC si ni kitimu cha matajiri au zile B 26 na mkataba ni vya mchongo [emoji13]Unbeaten kwa kununua mechi na kuhonga marefa mkalemaa sasa dawa inawaingia..