Si kwa ubaya ila nabi PENGINE kaishiwa mbinu au wachezaji wanamuangusha

Si kwa ubaya ila nabi PENGINE kaishiwa mbinu au wachezaji wanamuangusha

Mechi 43 unbeaten halafu kuna mbumbumbu mmoja ameshiba njugu mawe anakuja kusema Prof ameishiwa mbinu hivi uko sawasawa kweli wewe...
Watanzania ni watu wa ajabu sana na wenye kulalamika sana yani mtanzania ni kiumbe kigumu na chenye kulalamika kwa kila kitu
 
Mko busy kuijadili Yanga, huku timu yenu yenyewe ni tia maji tia maji! Yanga imetoa tu sare! Imecheza mpira mkubwa! Na kila mtu ameona!!
Ila nyinyi kwa sababu ya umbumbumbu wenu, mko busy na Yanga! Kana kwamba hakina kinachoendelea kwenye timu yenu!

Hakika Ismail Addn Rage hakukosea pale alipowaita mbumbumbu! Aisee mnastahili kabisa. Leo mkifungwa tutaona tu kelele zenu humu za kumkataa Matola, Mgunda na CEO Barbara!! Na hii ndiyo maana halisi ya kuitwa mbumbumbu.
Huu ndio mpira mkubwa mliocheza??
Shots on target 3 kwa 6
JamiiForums-2042421059.jpg
 
Mechi 43 unbeaten halafu kuna mbumbumbu mmoja ameshiba njugu mawe anakuja kusema Prof ameishiwa mbinu hivi uko sawasawa kweli wewe?

Umechezwa mpira mkubwa dhidi ya timu kubwa ulikua unategemea nini? Wame tengeneza nafasi zao na sisi tumetengeneza za kwetu lakini wao ndio wanaonekana zaidi kuliko sisi(ushabiki)

Mnaweza kupuga majungu kwa mashabiki wasiokuwa na uelewa mkubwa wa mpira na sio kwa sisi. Halafu inatosha hebu mrudi na nyie mna kipengele huko ugenini

Sent using Jamii Forums mobile app
Shots on target 3 kwa 6

Huo mpira mkubwa mliocheza upo wapi
JamiiForums-2042421059.jpg
 
Unbeaten kwa kununua mechi na kuhonga marefa mkalemaa sasa dawa inawaingia..
Kwenye hiyo unbeaten ya michezo 43, Simba amekutana na Yanga kwenye mechi 5, yaani klabu ya Simba ilikuwa na mechi 5 (mechi nyingi zaidi kuliko timu yoyote ile) za kuvuruga unbeaten ya Yanga Ila Hali imekua tofauti. Ni Simba ambao wamechangia unbeaten ya Yanga kwa mechi nyingi kuliko timu yoyote iliyokutana na Yanga kwenye unbeaten hiyo, swali ni kuwa je, Simba nayo imenunuliwa kwenye michezo mi 5 mfululizo asimfunge Yanga?
 
Mimi Ghazwat napenda waendelee kujifariji hivyo hivyo Unbeaten na mazagaza mengine ili waendelee kudumaa hapo hapo walipo.

Kwani hapa kila mmoja anahangaika na lake, mmoja kwenye kuingia makundi ya CAF na mwingine Nusu Fainali ya CAF.
 
Sisi mbumbumbu ila nyie vinyesi, hamnazo, nyani, utopolo, malalamiko fc, kidimbwi fc, miamala fc [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] na mwendo umeumaliza poleee
Kama mnafungwa na vinyesi FC ninyi si ni funza kabisa walio nyoro nyoro kama makamasi ya kike [emoji1]
 
Back
Top Bottom