Si kwa ubaya ila nabi PENGINE kaishiwa mbinu au wachezaji wanamuangusha

Kweli matokeo ya jana yamekuchanganya sana.Leo unacomment kama siyo wewe unayeongeleaga ukweli wa team yako inapovurunda.Hivi kweli kwa ule msako wa dk 20 za mwisho kuna matumaini kule Sudan ya kufuzu kuelekea makundi?
Jana timu zote zilishambuliana kwa zamu! Kushambuliwa kwenye hizo dakika 20 za mwisho kunaweza kusababishwa na vitu vingi! Benchi la ufundi watafanyia kazi.

Mimi kama mshabiki wa Ywnga, nafurahia namna timu yangu inavyo pambana! Ifuzu, isifuzu! Bado nitaiunga mkono mwanzo mwisho.
 
Hawa mashabiki wa simba wanahitaji maombi maalum kwa kweli! Eti wanapata kabisa ujasiri wa kumponda Prof. Nabi, huku wenyewe wakiokoteza makocha wasio na mkataba kutoka Coastal Union!!

Na muda si mrefu huyo kocha wao wa kuokoteza na yeye watamtimua tu kama kawaida yao! Imagine ndani ya misimu miwili wameajiri zaidi ya makocha wanne!!
 
Waliambiwa kwa Yanga hii mwaka huu lazima tufike nusu fainali..yalivyokuwa mazuzu yakashangilia 😂😂
 

hiyo sasa ni tatzo lenu kama mnaona kuna mtu anajadili yanga hapa...?!!!hapa tunajadili soka ..ni kweli simba ni tia tia maji ila mimi hilo halinihusu coz mi sio kiongozi wa simba so hilo pia ni tatzo lao wenyewe..
 

Mmeshinda mechi zote sawa ila jee????leo MMEFURAHI???ukinijibu nitag mkuu
 
Kwan si uprofeaaor mmemtunuku juzi juzi tu iweje leo hana mbinu ? Yanga mkumbuke mkishindwa haumu CAF CL mtaangukia CAF CCC
 
Wameshampa bichwa mayele mpk wengine wanakosa comfidence mimi namkubali sana Fei toto. Angepewa na yy akaachiwa nafasi mbona Yang'a wangefurahiii
 
Hili ndio tatizo kabsaaa

Kama unaangalia vzr ni kwamba viongozi wa yanga wanaendeshwa na mihemko ya mashabiki wao..wanataka sana kuwapa raha wananchi bila kuzingatia mahitaji ya kocha

Unajua kuna sajili kibao pale kocha hajaziridhia..kisinda,Morrison,bigirimana na hata makambo ila kwa kuwa ni matakwa ya mashabiki na wanachama basi wanajikuta hawana jinsi ila kuwarudisha tuu..

Kimsingi usajili wa kisinda ni upuuzi tu,sasa una moloko,Morrison,fareed,nkane,ambundo haya huyo tk master wa kazi gani???

Mtu mwenyewe kaletwa kwa mkopo,sasa sahizi wako mitandaoni huko wanamlaumu aucho kwa matokeo ya jana,kiti ambacho sio sawa.
 
Kwa hiyo mpira mkubwa unapimwa kwa shorts on tatget tu!

Unajua on target maana yake nini????maana yek walikuwa wametengeneza nafasi nyingi kuwaliko ,kama wangetumia wise basi jana full time ingekuwa yanga3-hilal 6
 
Mzamir Nasir ( jezi namba 9)
Na Abdlaheeman ( Rasi jezi namba 10)
Wanawasalimia wanayanga, wanasema hivi Sudan wataanza[emoji23][emoji23][emoji23].

Kwa wasiomjua Rasi ndio MVP wa ligi ya sudan, na ndio Captain mkuu wa Al hilal.

Yule rasta na yule winga mzamiru yassir wanajua soka wale mbwa!..naomba hata huko mbeleni simba wasije kujichanganya kukutana na al hilal
 
Mwarabu ameshawalainisha mkifika Sudan anajimiminia magoli ya kutosha mkijarudi mnatema mate tu kudadadeq
 
Reactions: 7ve
Hizo mbinu zitaonekana tarehe 23,yani simba kwa yanga ni ex wetu,tukitaka tunamla mda wowote,uongozi hamna unabaki kujadili ya yanga and [emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960],hwa hilo umekurupuka ndugu

Ni kweli kabisa yanga mtaifunga simba sana tuu ila je??LEO MMEFURAHI?????
 
Mkiambiwa hamnazo mnatoa povu,hivi unapata wapi ujasiri wa kuwakana hao kima wenzako? Nyie ni maamuma kweli kweli.
Haya timu yako ya simba inacheza saa ngapi? Yanga imeshacheza jana na kutoa sare!
 
Unajua on target maana yake nini????maana yek walikuwa wametengeneza nafasi nyingi kuwaliko ,kama wangetumia wise basi jana full time ingekuwa yanga3-hilal 6
Haya hamishieni nguvu sasa kwa viungo wenu konokono, punda na nungunungu! Wanacheza leo. Na mna makocha wawli; yule mnaye msimanga timu inapofungwa, na yule ambaye alikuwa hana mkataba kule Coastal Union.

Yanga imeshacheza, na matokeo yameshapatikana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…