Si kwa ubaya ila nabi PENGINE kaishiwa mbinu au wachezaji wanamuangusha

Si kwa ubaya ila nabi PENGINE kaishiwa mbinu au wachezaji wanamuangusha

Kweli matokeo ya jana yamekuchanganya sana.Leo unacomment kama siyo wewe unayeongeleaga ukweli wa team yako inapovurunda.Hivi kweli kwa ule msako wa dk 20 za mwisho kuna matumaini kule Sudan ya kufuzu kuelekea makundi?
Jana timu zote zilishambuliana kwa zamu! Kushambuliwa kwenye hizo dakika 20 za mwisho kunaweza kusababishwa na vitu vingi! Benchi la ufundi watafanyia kazi.

Mimi kama mshabiki wa Ywnga, nafurahia namna timu yangu inavyo pambana! Ifuzu, isifuzu! Bado nitaiunga mkono mwanzo mwisho.
 
Mbumbumbu mna matatizo sana vichwani mwenu, madish yenu yameyumba sana sio bure, Timu yenu mmeisahau kabisa kuiongelea mmejikita kutoa ushauri mbuzi kwa yanga ambayo kiubora imewazidi mbali sana, unamsema kocha Nabi ambae kama kweli unaujua mpira uwezi kumkosoa kwa mistake moja anayokuwa amefanya, kila kocha anao mfumo wake anaopenda kuutumia ukiferi anaubadilisha usifikiri mpira ni kama bonanza kila mtu ni kocha, unaposema rotation ni rotation ipi unayoitaka wewe, nyie mbona amuwafanyii rotation kina akpan, kina nyoni, kina kakolanya kwenye mechi muhimu mnashindwa nini? Msiwe mnajidhalilisha kuonyesha mapungufu yenu ya akili
Hawa mashabiki wa simba wanahitaji maombi maalum kwa kweli! Eti wanapata kabisa ujasiri wa kumponda Prof. Nabi, huku wenyewe wakiokoteza makocha wasio na mkataba kutoka Coastal Union!!

Na muda si mrefu huyo kocha wao wa kuokoteza na yeye watamtimua tu kama kawaida yao! Imagine ndani ya misimu miwili wameajiri zaidi ya makocha wanne!!
 
Ni kweli timu yetu ni tia maji tia maji na tunaenda kitia maji tia maji na unakuta tunafika mbali sababu tunajua udhaifu wetu.

Sasa nyinyi mashabiki maandazi mnaaminishwa kwamba timu yenu ni bora kisa ina unbeaten ya mchongo na nyinyi mnakubali. Hakika uto ni uto.
Waliambiwa kwa Yanga hii mwaka huu lazima tufike nusu fainali..yalivyokuwa mazuzu yakashangilia 😂😂
 
Mko busy kuijadili Yanga, huku timu yenu yenyewe ni tia maji tia maji! Yanga imetoa tu sare! Imecheza mpira mkubwa! Na kila mtu ameona!!
Ila nyinyi kwa sababu ya umbumbumbu wenu, mko busy na Yanga! Kana kwamba hakina kinachoendelea kwenye timu yenu!

Hakika Ismail Addn Rage hakukosea pale alipowaita mbumbumbu! Aisee mnastahili kabisa. Leo mkifungwa tutaona tu kelele zenu humu za kumkataa Matola, Mgunda na CEO Barbara!! Na hii ndiyo maana halisi ya kuitwa mbumbumbu.

hiyo sasa ni tatzo lenu kama mnaona kuna mtu anajadili yanga hapa...?!!!hapa tunajadili soka ..ni kweli simba ni tia tia maji ila mimi hilo halinihusu coz mi sio kiongozi wa simba so hilo pia ni tatzo lao wenyewe..
 
Mechi 43 unbeaten halafu kuna mbumbumbu mmoja ameshiba njugu mawe anakuja kusema Prof ameishiwa mbinu hivi uko sawasawa kweli wewe?

Umechezwa mpira mkubwa dhidi ya timu kubwa ulikua unategemea nini? Wame tengeneza nafasi zao na sisi tumetengeneza za kwetu lakini wao ndio wanaonekana zaidi kuliko sisi(ushabiki)

Mnaweza kupuga majungu kwa mashabiki wasiokuwa na uelewa mkubwa wa mpira na sio kwa sisi. Halafu inatosha hebu mrudi na nyie mna kipengele huko ugenini

Sent using Jamii Forums mobile app

Mmeshinda mechi zote sawa ila jee????leo MMEFURAHI???ukinijibu nitag mkuu
 
Mechi tano kama sio nne mfululizo anashindwa kupata goli 1st half,inawezekana hana tena mbinu mpya au suala la kumuachia jukumu la kufunga braza mayele ndio shida..

Mchezaji mmoja ndio awe anatolewa macho na mabeki wote kweli jamani?Hata awe ni mchezaji mzuri ila kuna muda mabeki wanamzidi ujanja.

Nadhani ni muda wa kocha nabi kuanzisha angalau double striker ya mayele na makambo ili angalau makambo apate kurudisha kujiamini na kaminiwa na mshabiki,pata picha siku mayele anaumwa au ana shida za kifamilia inakuaje??.

Kwa upande wa mbinu,nabi hana rotation kwenye kikosi chake kabisa,ni kama amekariri kuwa lazima wacheze hao hao tuuu..

Sasa una kiungo kama bigirimana kwanini mechi hata moja asianze???.

Au kisa hakuwa chaguo lake?(ndio shida ta kumsajilia kocha).

All in all watani zangu yanga nawaambia tu sudan mwende mkacheze 4 4 2 mkafunguke tuu manake hakuna cha kupoteza,wao watawalazimisha kucheza mchezo wa taratibu ili muda uende tuu wapate hata sare tasa.
Kwan si uprofeaaor mmemtunuku juzi juzi tu iweje leo hana mbinu ? Yanga mkumbuke mkishindwa haumu CAF CL mtaangukia CAF CCC
 
Wameshampa bichwa mayele mpk wengine wanakosa comfidence mimi namkubali sana Fei toto. Angepewa na yy akaachiwa nafasi mbona Yang'a wangefurahiii
 
Hili ndio tatizo kabsaaa

Kama unaangalia vzr ni kwamba viongozi wa yanga wanaendeshwa na mihemko ya mashabiki wao..wanataka sana kuwapa raha wananchi bila kuzingatia mahitaji ya kocha

Unajua kuna sajili kibao pale kocha hajaziridhia..kisinda,Morrison,bigirimana na hata makambo ila kwa kuwa ni matakwa ya mashabiki na wanachama basi wanajikuta hawana jinsi ila kuwarudisha tuu..

Kimsingi usajili wa kisinda ni upuuzi tu,sasa una moloko,Morrison,fareed,nkane,ambundo haya huyo tk master wa kazi gani???

Mtu mwenyewe kaletwa kwa mkopo,sasa sahizi wako mitandaoni huko wanamlaumu aucho kwa matokeo ya jana,kiti ambacho sio sawa.
 
Kwa hiyo mpira mkubwa unapimwa kwa shorts on tatget tu!

Unajua on target maana yake nini????maana yek walikuwa wametengeneza nafasi nyingi kuwaliko ,kama wangetumia wise basi jana full time ingekuwa yanga3-hilal 6
 
Mzamir Nasir ( jezi namba 9)
Na Abdlaheeman ( Rasi jezi namba 10)
Wanawasalimia wanayanga, wanasema hivi Sudan wataanza[emoji23][emoji23][emoji23].

Kwa wasiomjua Rasi ndio MVP wa ligi ya sudan, na ndio Captain mkuu wa Al hilal.

Yule rasta na yule winga mzamiru yassir wanajua soka wale mbwa!..naomba hata huko mbeleni simba wasije kujichanganya kukutana na al hilal
 
Hawa mashabiki wa simba wanahitaji maombi maalum kwa kweli! Eti wanapata kabisa ujasiri wa kumponda Prof. Nabi, huku wenyewe wakiokoteza makocha wasio na mkataba kutoka Coastal Union!!

Na muda si mrefu huyo kocha wao wa kuokoteza na yeye watamtimua tu kama kawaida yao! Imagine ndani ya misimu miwili wameajiri zaidi ya makocha wanne!!
Mwarabu ameshawalainisha mkifika Sudan anajimiminia magoli ya kutosha mkijarudi mnatema mate tu kudadadeq
 
  • Thanks
Reactions: 7ve
Hizo mbinu zitaonekana tarehe 23,yani simba kwa yanga ni ex wetu,tukitaka tunamla mda wowote,uongozi hamna unabaki kujadili ya yanga and [emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960],hwa hilo umekurupuka ndugu

Ni kweli kabisa yanga mtaifunga simba sana tuu ila je??LEO MMEFURAHI?????
 
Mkiambiwa hamnazo mnatoa povu,hivi unapata wapi ujasiri wa kuwakana hao kima wenzako? Nyie ni maamuma kweli kweli.
Haya timu yako ya simba inacheza saa ngapi? Yanga imeshacheza jana na kutoa sare!
 
Unajua on target maana yake nini????maana yek walikuwa wametengeneza nafasi nyingi kuwaliko ,kama wangetumia wise basi jana full time ingekuwa yanga3-hilal 6
Haya hamishieni nguvu sasa kwa viungo wenu konokono, punda na nungunungu! Wanacheza leo. Na mna makocha wawli; yule mnaye msimanga timu inapofungwa, na yule ambaye alikuwa hana mkataba kule Coastal Union.

Yanga imeshacheza, na matokeo yameshapatikana!
 
Back
Top Bottom