Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Hata ile die ni π₯π₯π₯Ile ni pure bongo flava na Ule wimbo hata kama ni hater wa harmonize toka moyoni lazma uukubali.
Lyrics, melody, sauti hadi video. Kila kitu kilikuwa on point mkuu
Lazima umkubali mwanao wa nanji hukooo ππππHata ile die ni π₯π₯π₯
Wana nanjilinjii tuna vipaji π€, vipi Voda Wana semajeπππ€Lazima umkubali mwanao wa nanji hukooo ππππ
Mungu anasaidia kamisheni zinasoma.. wenye vipaji vya kuongea tunapita ki hivo mkuuWana nanjilinjii tuna vipaji π€, vipi Voda Wana semajeπππ€
Mbwinde hukoππ, mna tembea hapo magomeni Hadi mbagalaππ€Mungu anasaidia kamisheni zinasoma.. wenye vipaji vya kuongea tunapita ki hivo mkuu
Jana nimetoka Chanika hadi k/kooMbwinde hukoππ, mna tembea hapo magomeni Hadi mbagalaππ€
Bado hujasema ππJana nimetoka Chanika hadi k/koo
Ila maokoto yapo ya kutoshA
Pia miguu inauma kiasi chake na kuna speaker wametupa
Mbona mi nishasema mkuu..Bado hujasema ππ
Full gambuti na ma redio Kama wauza sumu za panyaππππ€Mbona mi nishasema mkuu..
Ila ndo hivo kupanga ni kuchagua..
Nipo na mwanangu sana wa humu humu π€π€π€π€π€π€
Jamaa anajua kwa sasa Ila drama kama socialite ndo zinamuharibiaπ₯π₯π₯Hata ile die ni π₯π₯π₯
Acha dharau mkuu.Full gambuti na ma redio Kama wauza sumu za panyaππππ€
Alikiba anatembea migongoni mwa watu.Kitu nnachokiona ni hicho mtu ambae hafi kimziki ni Alikiba pekee
Kuna ile die ft khaligraph, na hii die aliyo imba kwa lugha ya malkia ni π₯π₯Jamaa anajua kwa sasa Ila drama kama socialite ndo zinamuharibiaπ₯π₯π₯
Tena mkija kunihoji mimi, Nita wakimbiza mbweha nyieππ€πAcha dharau mkuu.
Usitake tukosane ππππππ
Na hii mibange anayovuta. Coming years atakuwa kama kina king Kong wa ilala tu...Harmonize ana kipaji kikubwa sana. Mimi ni mmojawapo namkubali sana pia. Tatizo hana management nzuri. Anataka kila kitu afanye yeye.
Watu wengi hamuelewi Daimond kwa nini ana mameneja wengi na anawalipa pesa kibao. Japo hao mameneja yeye anawaongoza cha kufanya,lakini nao wanamuongoza nini afanye kipi aachane nacho. Wale mameneja wa Dai kila mmoja ana kazi yake.
Tatizo lingine kubwa la Harmonize ni kuendelea kufuata upepo wa Dai. Kupambana na Dai ni kujipoteza. Yeye alivyoamua kujichomoa Wasafi. Ilitakiwa awe amejipanga kufanya kazi kwa juhudi bila kugeuka upande wa pili. Ilitakiwa afanye kazi zake kulingana na alivyojipanga tu si vinginevyo.
Mwisho ushauri wangu kwake ni ule ule wa siku zote. Japo utakuwa umechelewa,lakini hakuna namna. Ache kumshambulia Daimond kabisa. Ilipaswa kila anapomuongelea Diamond amuongelee vizuri sana Daimond. Kumuongelea vizuri Dai sio kujishusha ,bali angejiongezea nguvu sana. Angejiongezea pia mashabiki wengine wa upande wa pili wangeendelea kumsapot. Pia ni ishara ya kurudisha fadhira.
Pia ingempunguzia sana maadui wa kupambana nao,badala yake ange-focus kwenye kazi tu. Bila Dai yule dogo nina uhakika asingejulikana kokote. Bila Dai asingekuwa na maisha aliyonayo sasa.
Japo hayo ilitakiwa ayafanye kitambo.
Utajua sasa kama ndo sisi...Tena mkija kunihoji mimi, Nita wakimbiza mbweha nyieππ€π
Kwanza wee ina onekana una ongea Kama ume meza cherehaniππ€£Utajua sasa kama ndo sisi...
π€π€π€πππππ
Vodacom family
Ushamba mwingi+sifa vinampoteza. Soon atabaki tu kwenye vitabu kwamba msanii maarufu,kama akina Juma NatureNa hii mibange anayovuta. Coming years atakuwa kama kina king Kong wa ilala tu...
Sema lyrics zake kama ni zile zile, angemuajiri mtu wa kumuandikia kimalkia zaidiKuna ile die ft khaligraph, na hii die aliyo imba kwa lugha ya malkia ni π₯π₯