Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuzoom upo kwa mtogore halafu umeweka hiyo kitu 🤣🤣Unakinga maji ya mvua na umeme wa solar
Hapo ndipo tunapojitenga na ulimwengu 🤣 🤣Unaeza kuta bei rahisi ila sasa ushuru utadhani umeleta mashine ya kuripua magogoni
Hapa shida kubwa ni kulitunza ukienda job unakuta mpaka kuku wamejaa humo ndani
[emoji23][emoji23]ka uko dar unakuta kunguru amenyea humoHapa shida kubwa ni kulitunza ukienda job unakuta mpaka kuku wamejaa humo ndani
Weeeeeee 🤣 🤣 🤣Unachukua majina yao unayapeleka kwa mganga 😂
Kias gani hilo dubwasha ukubwa wa ft15,10Unachukua majina yao unayapeleka kwa mganga [emoji23]
Bei ya hapa bongo au bei ya nje nitalazimika kulisafirisha+gharama za traBei inaanzia £300-1,000