Si Membe aliyesababisha biashara ya Korosho kudorora, maamuzi ya kukurupuka ndiyo yametufikisha hapa!

Siku ambayo Lubuva alibuni matokeo na kumteua huyu jamaa wa chattle ndio ulikuwa mwanzo wa kuirudisha Tanzania miaka 100 nyuma kabla ya uhuru.
 
hivi na sisi tunaopata tabu kwa kutolipwa mafao yetu ya kustaafu tumlaumu nani?au inatakiwa kuunga mkono kutolipwa mafao yetu?
Yaani mambo katika awamu hii yanakwenda ovyo kila upande........

Fao la kujitoa wameamua "kuwapora" wafanyakazi na kulipeleka Hazina......

Export levy ya korosho wameanua "kuwapora" wakulima wa korosho na kuzipeleka Hazina......

Yaani nchi hii tulikosea sana kumpa kiongozi kichaa kutuongoza.....

Yaani yajayo yanasikitisha sana!
 
Kuanzia mkuu wa kaya, VP, Dokta mpaka Majaliwa woote hawa wamekuwa wakipokea mshahara tangia mwanzo wa ujana wao mpaka kaburini, sasa unategemea sekta ya biashara itanawirishwa chini ya mikono ya mtu/watu waliolemazwa na mishahara?!!
 
Kuanzia mkuu wa kaya, VP, Dokta mpaka Majaliwa woote hawa wamekuwa wakipokea mshahara tangia mwanzo wa ujana wao mpaka kaburini, sasa unategemea sekta ya biashara itanawirishwa chini ya mikono ya mtu/watu waliolemazwa na mishahara?!!

Ulichoongea kinafikirisha sana!
 
Membe wa G Sam anafikaje hapa?
 
bei ya korosho haiwezi kuwa nzuri mpaka tuwe na viwanda vya maana vya kubangua korosho, wengi walionunua viwanda wamevigeuza maghala kwa mtindo huu wa kuuza korosho ghafi lazima bei haitakuwa imara
 
Safi sana kudadeki ! Mtashikana uchawi mpaka siku Yesu anarudi .
 
Hii ishu ya korosho isipokuwa handled vizuri inaweza kupelekea kuporomoka kwa uzalishaji wa zao la korosho kwa kiwango ambacho hatujawahi kushuhudia
Korosho sio mara ya kwanza kuporomoka au kupanda.Mikoa isiopungua 16 imeanza kulima zao hilo,ni wazi sababu ya wingi wa washiriki tutapata wingi wa zao hilo,tutegemee siku za usoni tukapata ufumbuzi wa kudumu kwa kubangua korosho zetu hapa nchini ili kuongeza bei ya zao hilo.
 
 
bei ya korosho haiwezi kuwa nzuri mpaka tuwe na viwanda vya maana vya kubangua korosho, wengi walionunua viwanda wamevigeuza maghala kwa mtindo huu wa kuuza korosho ghafi lazima bei haitakuwa imara
huu ni utaalamu wa kutawala soko( market management ) ,mteneneza kiwanda akiwa mnunuaji wako mkubwa anakuchezea usitoke, anakuuzia kiwanda kikifika kwako anabadili mahitaji. kiwanda kina kuwa ghala lakuhijfadhi mazao,yeye anataka ghafi Na Bei yake hutaki acha mkulima wako hawezi acha uza hawezi kuzila zote!, unachofanya unajenga kwanza soko la ndani liwe imara sana!
 
"CHADEMA NDIO WAMESABABISHA BEI YA KOROSHO KUDORORA ILI KUMCHONGANISHA MTUKUFU SANA JIWE/KICHAA NA WATANZANIA WANYONGE"
NIMEWAZA KWA AKILI YA BWANA MUSIBA
 
Kwani kipindi Membe yuko kwenye System bei ya korosho ilikuwa Tsh ngapi mpaka ionekane yeye ndite chanzo cha bei kushuka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…