Si mlikuwa mnasema kuwa Awamu ya Utekaji Watu ilikuwa ni ya Magufuli tu na Kumshutumu je, ya sasa bado Rais ni Magufuli aliyelala mahala pema peponi?

Si mlikuwa mnasema kuwa Awamu ya Utekaji Watu ilikuwa ni ya Magufuli tu na Kumshutumu je, ya sasa bado Rais ni Magufuli aliyelala mahala pema peponi?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Matukio ya watu kutoweka katika mazingira yenye kutatanisha huku askari polisi wakihusishwa kuwashikilia yanaendelea kushika kasi nchini.

Taarifa mpya zilizolifikia Mwananchi zinadai kuwa vijana wanne wilayani Temeke, Dar es Salaam na mkazi mmoja mkoani Geita wametoweka na jitihada za kuwatafuta hazijazaa matunda kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa.

Taarifa zinasema vijana Ramadhan Sultan (20), Charles Kelvin (18), Abdulrazack Salim (18), na mwenzao ambaye taarifa zake hazikupatikana, wametoweka tangu Juni 20, 2024.

Chanzo: mwananchi_official ( dakika 42 tu zilizopita )

Kuna Mtu aliniambia kuwa Awamu hii ni Mtindo wa Kimya Kimya sikumuelewa ila sasa nimeanza Kumuelewa vyema.
 
Matukio ya watu kutoweka katika mazingira yenye kutatanisha huku askari polisi wakihusishwa kuwashikilia yanaendelea kushika kasi nchini.

Taarifa mpya zilizolifikia Mwananchi zinadai kuwa vijana wanne wilayani Temeke, Dar es Salaam na mkazi mmoja mkoani Geita wametoweka na jitihada za kuwatafuta hazijazaa matunda kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa.

Taarifa zinasema vijana Ramadhan Sultan (20), Charles Kelvin (18), Abdulrazack Salim (18), na mwenzao ambaye taarifa zake hazikupatikana, wametoweka tangu Juni 20, 2024.

Chanzo: mwananchi_official ( dakika 42 tu zilizopita )

Kuna Mtu aliniambia kuwa Awamu hii ni Mtindo wa Kimya Kimya sikumuelewa ila sasa nimeanza Kumuelewa vyema.
kwahiyo hao wanaFamilia watu wazima wametekwa au wametoweka?🐒
 
Amini usiamini ipo siku watu watakichafua itakuwa zaidi ya Kenya. Watu wakimya waogope sana Bro
Siyo kwa hii Mitanzania ninayoijua Mkuu. Tena nakuomba acha kupoteza muda wako Kuwaamini Watanzania hawa Ok?
 
Back
Top Bottom