Mhaya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2023
- 1,831
- 5,489
Jamani tuacheni shobo (Ushauri na si kwa ubaya).
Kama tunakutwa na janga, acha tupambane nalo, tuone wapi tumekosea na tujirekebishe. Haya mambo mengine ya kutaka watu wakuposti, wala hayasaidii.
Watu wamepata matatizo, acha wapray wao kwa wao, kama sisi tunavyoachwa tupray sisi kwa sisi.
Hakuna Mpalestina kutokea Gaza au Muisrael kutokea Jerusalem aliyepost habari ya kariakoo.
Kuna Mpalestina wa Bonyokwa na Mgalatia wa Mburahati basi wako kutwa kuchwa Pray for Palestina, Pray for Israel
Kama tunakutwa na janga, acha tupambane nalo, tuone wapi tumekosea na tujirekebishe. Haya mambo mengine ya kutaka watu wakuposti, wala hayasaidii.
Watu wamepata matatizo, acha wapray wao kwa wao, kama sisi tunavyoachwa tupray sisi kwa sisi.
Hakuna Mpalestina kutokea Gaza au Muisrael kutokea Jerusalem aliyepost habari ya kariakoo.
Kuna Mpalestina wa Bonyokwa na Mgalatia wa Mburahati basi wako kutwa kuchwa Pray for Palestina, Pray for Israel