Si nina ibiwa hapa??

Si nina ibiwa hapa??

Huwa Inatokea siku zinapishana sababu ya chakula hata kazi kazi kwa ujumla au mawazo na stress hupelekea mzunguko kubadilika so usikurupuke kwanza na njia sahihi ni kupima Mimba tu hapo na ina uwezekano ikawa yako kama ulikutana nae tar hizo na siku zilibadilika kabisa na hamkutumia kinga basi maamuzi ya busara ni kujipanga kuitwa baba tu hakuna kingine other wise abortion ingawa si kitu chema
 
Huwa Inatokea siku zinapishana sababu ya chakula hata kazi kazi kwa ujumla au mawazo na stress hupelekea mzunguko kubadilika so usikurupuke kwanza na njia sahihi ni kupima Mimba tu hapo na ina uwezekano ikawa yako kama ulikutana nae tar hizo na siku zilibadilika kabisa na hamkutumia kinga basi maamuzi ya busara ni kujipanga kuitwa baba tu hakuna kingine other wise abortion ingawa si kitu chema
Nashukuru mkuu
 
Wale wenye ufahamu na mambo ya uzazi especially Siku mabaya msaaada pls
 
Possible coz, from 9/9 mpk 1/10 ni siku aprox to 20. Siku ambazo si safe ni 10-20 kutegemeana na mzunguko wake..Pia huwa kuna ambao mzunguko hautabiliki. Usipaniki jisndae kulea
 
Possible coz, from 9/9 mpk 1/10 ni siku aprox to 20. Siku ambazo si safe ni 10-20 kutegemeana na mzunguko wake..Pia huwa kuna ambao mzunguko hautabiliki. Usipaniki jisndae kulea
Shukran mkuu
 
Habari sana wana bodi,
Niende moja kwa moja kwenye point,nipo kwenye Mahusiano na bint mmoja kwa mwez sasa ila tupo mbali mbali kimkoa cha ajabu juz ananiambia haoni cku zake it means anaujauzito suala la ujauzito sio tatitzo tatitizo nnaona harufu ya kubambikiziwa Mana anasema aliingia hedhi tarehe 8/9 na alitakiwa azione tena 7/10 na Mimi nilkutana nae kimwili Mara ya mwisho tarehe 1/10 nikipiga mahesabu naona nataka kubambikiziwa wakuu mnaojua hata mambo ebu nisaidien ki ushauri mana nmemwambia sio yangu yeye analia anasema ni yangu.
Natanguliza shukran.
Kua making bro mbona kama mahesabu hayasom
 
Back
Top Bottom