Si nina ibiwa hapa??

Si nina ibiwa hapa??

Lea tu mkuu you never know anaweza kuwa Diamond ajae so far kulea mtoto mpaka awe mtu mzima ni kama fadhira tu otherwise tulitakiwa kuwa kama kuku au ng'ombe baada ya umri fulani no relationship kila mtu na njia yake
 
Lea tu mkuu you never know anaweza kuwa Diamond ajae so far kulea mtoto mpaka awe mtu mzima ni kama fadhira tu otherwise tulitakiwa kuwa kama kuku au ng'ombe baada ya umri fulani no relationship kila mtu na njia yake
Mkuu tatizo sio kulea,,tatizo ni utata uliopo kwenye izo tarehe
 
hapo uwezi sema yako au siyo yako mwambie aende akapime alaf akuambie ina muda gani then kokotao tena hesabu kuanzia siku uliyofanya nae tendo hadi hapo sasa utapata jibu sahihi kabisa
 
hapo uwezi sema yako au siyo yako mwambie aende akapime alaf akuambie ina muda gani then kokotao tena hesabu kuanzia siku uliyofanya nae tendo hadi hapo sasa utapata jibu sahihi kabisa
Shukrani mkuu nimekuelewa vyema kbisa
 
Habari sana wana bodi,
Niende moja kwa moja kwenye point,nipo kwenye Mahusiano na bint mmoja kwa mwez sasa ila tupo mbali mbali kimkoa cha ajabu juz ananiambia haoni cku zake it means anaujauzito suala la ujauzito sio tatitzo tatitizo nnaona harufu ya kubambikiziwa Mana anasema aliingia hedhi tarehe 8/9 na alitakiwa azione tena 7/10 na Mimi nilkutana nae kimwili Mara ya mwisho tarehe 1/10 nikipiga mahesabu naona nataka kubambikiziwa wakuu mnaojua hata mambo ebu nisaidien ki ushauri mana nmemwambia sio yangu yeye analia anasema ni yangu.
Natanguliza shukran.
Subiri aje apime ujauzito(kama anao) then akiambiwa ni ujauzito wa miezi kadhaa ndio ufanye hesabu zako.
 
discrepancy kubwa Sana ya tarehe hapo mkuu, hio haikuhusu kabisa mkuu. written with confidence, yours truly
 
Hiyo sio yako km 8/9 aone 7/10 means ni regular mpk kapata doubt kitaalamu ovulation inatokea siku ya 14. So most danger days 12-16, japo kwa wengine inaweza anza 10-18. Tuanzie hapo, 8+10=18, 8+18=26, So kwake danger days ni 18-26/9... Kipindi unasex danger days zilikuwa zshapita. Hapo ni kikendu. Usimwamini mwanamke, mi yalinitokea km wewe ila kwa vile nna shule ya afya nilipt info zote za manzi mpk alivyopt mimba
 
Hiyo sio yako km 8/9 aone 7/10 means ni regular mpk kapata doubt kitaalamu ovulation inatokea siku ya 14. So most danger days 12-16, japo kwa wengine inaweza anza 10-18. Tuanzie hapo, 8+10=18, 8+18=26, So kwake danger days ni 18-26/9... Kipindi unasex danger days zilikuwa zshapita. Hapo ni kikendu. Usimwamini mwanamke, mi yalinitokea km wewe ila kwa vile nna shule ya afya nilipt info zote za manzi mpk alivyopt mimba
Thanks mkuu
 
Possible coz, from 9/9 mpk 1/10 ni siku aprox to 20. Siku ambazo si safe ni 10-20 kutegemeana na mzunguko wake..Pia huwa kuna ambao mzunguko hautabiliki. Usipaniki jisndae kulea
1539311479034.png


1539311611934.png

Shukran mkuu
Kwa kuwa siku zake za awali anazifahamu, Fanya naye hesabu uone hiyo tarehe 1/10 inaangukia kwenye namba ipi katika hizo picha.
 
Back
Top Bottom