Si sahihi kufikiri eti komandoo akiwa mtaani ni kama raia wa kawaida

Si sahihi kufikiri eti komandoo akiwa mtaani ni kama raia wa kawaida

Nazani hata wewe uwezi kuelewa ulicho kiandika
Pole kasome tena Mabeyo alipewa rushwa ya bonge la house ndio maana kaingiza jeshi kwenye siasa komandoo anapotezwa na kingai matata wapuuzi hao yeye anaangalia tu
 
Miye nawaA tu makomando watatu hata kama aaskari walikuwa na silaha za moto walishindwaje wamudu huo ukomando wao vipi nawaza naona huo ukomando wa kudesa siyo wavitendo
Lazima useme hivyo maana hayajakupata
 
Back
Top Bottom