johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Sisi ndani ya CCM tulishamaliza mchakato bwashee Uchaguzi wa Rais ni 2030Case ya rais Samia ni special. Aligimbea na mwenzake 2015 na 2020. Baada ya mwenzake kufariki yeye akakabidhiwa amalizie ungwe yao mpaka 2025.
Japo katiba ya nchi inamruhusu kugombea muhula mmoja zaidi, hiyo haiondoi ukweli kwamba chama hakijawahi kumpima na kumridhia kwa nafasi hii ya sasa anayomalizia. Hivyo 2025 anaweza kuwekwa kwenye mzani na akaonekana hatoshi.
Hata "mambo yakiharibika sana"??Sisi ndani ya CCM tulishamaliza mchakato bwashee Uchaguzi wa Rais ni 2030
Sasa tunashughulika tupate Wabunge tu na Madiwani wa kutosha
Atakuwa alimaanisha aongezewe hadi 2035.Nilitaka niliweke hilo sawa kwamba kwa mujibu wa utamaduni wa CCM Rais anahudumu term 2 kama Katiba ya JMT inavyotaka
Sasa akiibuka mwanaccm sasa na Kuomba Rais Samia aongezewe muda hadi 2030 tunamshangaa kwa sababu huo ndio utamaduni sasa wewe unaomba ukimaanisha nini
Ni hilo tu
Ahsanteni π