johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nilitaka niliweke hilo sawa kwamba kwa mujibu wa utamaduni wa CCM Rais anahudumu term 2 kama Katiba ya JMT inavyotaka
Sasa akiibuka mwanaccm sasa na Kuomba Rais Samia aongezewe muda hadi 2030 tunamshangaa kwa sababu huo ndio utamaduni sasa wewe unaomba ukimaanisha nini
Ni hilo tu
Ahsanteni 😀
Sasa akiibuka mwanaccm sasa na Kuomba Rais Samia aongezewe muda hadi 2030 tunamshangaa kwa sababu huo ndio utamaduni sasa wewe unaomba ukimaanisha nini
Ni hilo tu
Ahsanteni 😀
