The seer
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 407
- 690
Baba ana watoto wawili mmoja bado yuko nyumbani(Ray vanny) anapata support ya familia kwa kila kitu na mwingine(HARMONIZE) ameamua kwenda kujitegemea kimaisha anajitegemea kwa kila kitu(jeshi).
Kuwafananisha hawa watoto sio sawa kwa vyovyote Yule anayejitegemea kimaisha ndio mwenye akili zaidi,ndio mkomavu na ndio aliyefanikiwa zaidi.
Kuwafananisha hawa watoto sio sawa kwa vyovyote Yule anayejitegemea kimaisha ndio mwenye akili zaidi,ndio mkomavu na ndio aliyefanikiwa zaidi.