SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Wewe ndiwe Kabwili alafu unaniuliza mimi tena!
Mdhamini mkuu katoa bil 2.5 kwa mwaka GSM ametoa bil 2.1 kwa mwaka mmoja wa mashindano sawa na 65 million kwa Kila timu kwa mwaka mmoja wa mashindano alafu unataka GSM akae kwenye jezi!????Mdhamini Mkuu ametoa bil2. 5 mdhamini mwenza ametoa bil2. 1 tofauti ni mil 400.halafu Kama hujui hizi bil. 2.1 zilipaswa zote ziwe za utawala(Tff)ila wamewaonea huruma tu.
Mmh!! Sidhani kama Simba kuna machoko!!Mimi ni Simba Ila naona ni fresh tu hata tukivaa jezi yenye nembo ya GSM
Jina lenyewe unajiita kitimoto unafikili unaweza kuwa na ubongo timamu?Huyo CEO ni 0 brain, siku zake zinahesabika
Iyo pesa ya GSM ni miaka miwili nduguMdhamini mkuu katoa bil 2.5 kwa mwaka GSM ametoa bil 2.1 kwa mwaka mmoja wa mashindano sawa na 65 million kwa Kila timu kwa mwaka mmoja wa mashindano alafu unataka GSM akae kwenye jezi!????
Shabiki wa mchongo
Msikule Ni Nani? Senzo aliwakilisha Young African, km viongozi wako walisusa hiyo Ni shauri yao, wasubiri Moo akidhamini ligiUtumie akili wewe..! Yule Senzo na Msukule walikuwa wanafanya nini mkutano wa kusaini mkataba...Wao ni akina nani kwenye mkataba wa TFF na GSM?
Wewe Ni kipofu her au kiziwi mwenzetuuu?Nani kakwambia hapa Yanga imehusishwa? Mbona wewe ndiyo unaonekana kuongozwa na mihemuko,umeona tu Simba wamepinga,ukaja na sababu zako kichwani kuwa Sababu GSM ni Yanga,tuonyeshe sehemu CEO wa Simba kaihusisha Yanga katika sababu alizozitoa
Kuna mkwepa Kodi na mnyonyaji zaidi ya Moo nchi hii?TFF wameshakula hela ya mkwepa kodi mwandamizi lazima waitapike.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Ikiwa bila Yanga sc hapo wenge lakini bila Makolo mbona fresh tuNingekuwa mimi ninge opt kushushwa daraja kuliko kuvaa hiyo logo. Tuone watafanyaje. Hii ligi bila Simba au Yanga ni ndondo cup
Sidhani hata siku nilishawahi kukukosea heshimaMmh!! Sidhani kama Simba kuna machoko!!
Unataka amani wakati wa vita askari? Namna gani ww!Sidhani hata siku nilishawahi kukukosea heshima
Futa hii, wala sijapenda
Huyo ni chokoJina lenyewe unajiita kitimoto unafikili unaweza kuwa na ubongo timamu?
Mm vita yangu huwa ni mbaya sana mpk mods huwa wanaitwa ili nipigwe BanUnataka amani wakati wa vita askari? Namna gani ww!
Mjibu mbovu tu [emoji3]
Mbwai Mbwai tu
Mfano Mo Dewji awe mdhamini mwenza wa Ligi kuu,halafu Yanga aambiwe aweke Logo ya Mo kwenye jezi!Ungekuwa na maoni hayo???Jamani kwani GSM Ni Yanga sc? Huyo CEO wenu akapimwe kichwa si bure
Yes, aweke mzigo tu Yanga tunavaa logo ya Mo mradi miiko yetu izingatiwe fulstopMfano Mo Dewji awe mdhamini mwenza wa Ligi kuu,halafu Yanga aambiwe aweke Logo ya Mo kwenye jezi!Ungekuwa na maoni hayo???
Miiko gani?Yes, aweke mzigo tu Yanga tunavaa logo ya Mo mradi miiko yetu izingatiwe fulstop