Si vibaya tukajuzwa kilichopeleka mzee wetu marehemu mzee Reginard Mengi kumwacha mke wake wa kwanza,Mama Mercy!

Kuhusu inshu hiyo Kuna rafiki yangu kwa sasa yupo Hapa boda alinipasha kuwa mke alitaka kumuua mume.

Ilikuwa hivi binti wa kazi aliandaa chai kama kawaida akaiweka mezani, sasa mama akaenda pale mezani akafanya yake kwa bahati nzuri binti wa kazi akawa ameona lile tukio bila ya mama kujua ameonwa basi mama alipotoka binti akajiuliza kwanini mama ameenda pale na amekoroga koroga wakati si kawaida yake hata siku moja?

Basi eti kabla mzee hajajongea mezani binti akaenda kumtonya mzee basi mzee akaita daktari wake kupima tu ikaonyesha chai ina sumu.

That's all.
 
Nashukuru sana kwa kunijuza hilo nilikuwa sijui kabisa na nikushukuru pia kwa kuona hili bandiko langu halina nia ovu ndani yake kabisa,sisi sote ni binadamu na hatuijui kesho yetu itakuwaje,sometimes we learn through others events !! Mzee wetu mpendwa R.Mengi kagusa makundi karibu yote hapa nchini kwa moyo wake wa kizalendo wa kusaidia pale alipoweza but haituzuii sisi kujadili yale yaliyo nyuma ya pazia kwa lengo la sisi kuchukua hata tahadhari tu
 

Ungemuuliza Mengi akiwa hai.

Sasa kashalala, kaa kimya
 

Mambo ya ndoa za watu unayatakia nini?
 
Hili ni jambo la binafsi sana na ukweli wote ule wa ndani hautakaa ujulikane popote... Hawa ni watu wa zamani wana mipaka na faragha zao... Tofauti na hawa watoto wa siku hizi wanaosimulia kila kitu
 
Hili ni jambo la binafsi sana na ukweli wote ule wa ndani hautakaa ujulikane popote... Hawa ni watu wa zamani wana mipaka na faragha zao... Tofauti na hawa watoto wa siku hizi wanaosimulia kila kitu
Nimekusoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…