Siamini....Bibi kumbe member JF!!


afadhali nimemjua bibi
ngoja nimsalimie
shikamoo bibi

We bibi, hebu ongeza font size bana, unamuua babu macho.

Afu ushakamua maziwa? Ukiuza usisahau kunichukulia ugoro hapo kwa mama Seberee.
 

Hapo kwenye red, Michelle pafunike mpaka watoto walale bana. Hahahahahaha LOLZ
 
Dah!! Kwa vile ni sikukuu yangu leo basi ngoja nikupe uhuru ila usivuke mipaka ni leo tu, huyu babu naye asije akafanya kisingizio akazoea sasa
 
Dah!! Kwa vile ni sikukuu yangu leo basi ngoja nikupe uhuru ila usivuke mipaka ni leo tu, huyu babu naye asije akafanya kisingizio akazoea sasa

We dogo....mwone kwanza miguu kama Real Madrid!
 
sijui kwanini hawezi jiuliza kwanini nimekuja kwa hii thread after all is said and done....? l.o.l

Tatizo nawe umeamua kujidisclose kinyume na makubaliano yetu.......harakaharaka ya nini sasa?
 
Tatizo nawe umeamua kujidisclose kinyume na makubaliano yetu.......harakaharaka ya nini sasa?

I want the world to know how happy and proud iam,to have you,it doesn't matter if am the third of even the twentieth woman in your life.....:bange: am tired of hiding..l.o.l
 
Tatizo nawe umeamua kujidisclose kinyume na makubaliano yetu.......harakaharaka ya nini sasa?
Hii sijui ndio inaitwa mwenda pole ndio mla nyama
Ng'ombe wote midume
Dah!! Sikuwahi kujua
usiwe na hofu,sitaki kuamini alikuahidi na ukaamini kwamba uko mwenyewe mpendwa....not the Babu we know,he is too good to be handled by a one woman...
Sasa nawe unampendea nini hivi hajakuumiza muulize Lizzy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…