Siamini kabisa kama Ndugai, Chongolo, Kinana na Mpango waliomba wenyewe kujiuzulu. Lazima kuna jambo!

Siamini kabisa kama Ndugai, Chongolo, Kinana na Mpango waliomba wenyewe kujiuzulu. Lazima kuna jambo!

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
11,550
Reaction score
40,697
Utamaduni wa kujiuzuru kwa viongozi wa CCM haupo na haujawahi kuwepo.

Tunapoona kiongozi yoyote wa CCM anaomba kujiuzuru basi kwa 100% tunajua ni shinikizo kutoka ndani sana likiratibiwa na mfumo chini ya kiapo cha mwenye mamlaka kuu ya nchi.

Kisa cha kujiuzuru kwa Jumbe wakati akiwa rais wa Zanzibar ndio darasa zuri la kurejelea kujiuzuru kwa makada wa juu wa CCM wa zama hizi.
 
Hii nchi kweli uwajibikaji hakuna hivyo suala la kujiuzulu halitokei kirahisi tu eti mtu kaachia ngazi?

Hao hata barua za kujiuzulu huwa wanapelekewa kutia saini tu zinakuwa zimeshaandaliwa mapema.
 
Back
Top Bottom