[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wana moyoMjini hapa watu wanajali pesa zaidi maumivu atayasikilizia akiwa anahesabu minoti
Alimpost yule Zuhura. Lulu nae muda wake wa kuporwa umefika. Na yule baba alivyo na bifu na condom sijui kama Lulu hatakuta G wake keshapewa mtu mwingine
Ndiyo hapo sasa itakua alikua anakula kisela, ila bado Zuu ana moyo labda na hizo hela alizopewa zilichangiaHawakuwa wanadate itakua Zuu alikua anamuelewa Maji ila maji alikua anakula kisela. We mwanaume anaekupenda anaweza kweli kukuomba umuunganishie mwanamke?
Zile nguo jaman wataokununua ni malaya na vichaa mwenye akili timamu huwezi vaa eti dougimasta brandNguo zenyewe uwiii bora nikasagule sagule mnadani. Zile nguo sio kabisa. Kafulia kama boss wake.
Cha kuchekesha baadhi team wema ndo team hamisa so doggy akianza ugomvi atachanganya wenzie
Ndiyo picha niliziona nikashangaa , huyo kaka alikua wa kiarabu alikua mtu wake sema mstaarabu alisema hatozirusha anamuheshimuAna mpaka picha?? mi nachojua yule bwana kampora kwa mke wake na kamfanyia visa mke mwenzie mlokole fake yule. Ukiona bongo movie anajitia low key ujue kuna bwana wa mtu kamshika sasa anaogopa kumuexpose
Zile nguo jaman wataokununua ni malaya na vichaa mwenye akili timamu huwezi vaa eti dougimasta brand
Niko hapa jaman hamisa hata kama amemaanisha wengi watamuona mnafki ila lulu anamlelea mtoto wake anaweza akawa ameandika kwa kumaanisha
Mnalizimisha Hamisa awe na roho mbaya kama nyie?
Niko hapa jaman hamisa hata kama amemaanisha wengi watamuona mnafki ila lulu anamlelea mtoto wake anaweza akawa ameandika kwa kumaanisha
Kho kho khoAlimpost yule Zuhura. Lulu nae muda wake wa kuporwa umefika. Na yule baba alivyo na bifu na condom sijui kama Lulu hatakuta G wake keshapewa mtu mwingine
Zile nguo hapana jamanKweli nguo sio nguo. Kwa uchumi huu zitadoda tu kama boss wake aliambulia za uso kwwnye lipstick, ndala sijui mkeka na application nae ajiandae kwa hasara tu
Asante my.
Mnafki huyo anatafuta kiki
Hainingii akilini kabisa kama Hamisa anaweza kumuonea huruma Lulu to zis extent...
Hata hatujui shoga angu wambea sieWeeeee... kisa nini jamani wapendanao wale?
Katika vitu ambavyo akili yangu haijakubali ni wewe kujitangaza mwanamke. Huna kabisa sifa za kike, zaidi labda jike dume.
Irene aliacha usshoga baada za Zamaradi kumdouble cross kipindi cha take oneKabisa. Wanafki balaa,ukiwa na wewe atasema wengine,akiwa na mwingine atakusema wewe.
Bongo movie uozo mtupu wanaojielewa wachache,kina irene paul,Jenifer kyaka (odama) yaani wachache mno.
[emoji13] [emoji13] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Mange anamchukiq Lulu sababu ya mdogo wake Wema na mdogo wake mpya wa hiyari Hamisa
Nzuri nyingi za kikahaba[emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Hivi ni nzuri?? maana hata sijaziona