Siamini kama Hamisa Kamaanisha

Siamini kama Hamisa Kamaanisha

@peterkibatala ameyajibu. Kasema hivi 1. Amesema kuwa hakuna hukumu tofauti inayoweza kutolewa kabla mkuhukiwa hajatumikia robo ya kufungo chake ambacho kwa Lulu itakuwa ni miezi 5. 2. Ndani ya hiyo miezi 5 dhamana inaweza kuombwa wakati wakisubiria kukata rufaaa 3. Huwezi kuacha kijana wa miaka 22 mwenye maisha marefu mbele yake apate covinction ya uhalifu. Itaharibu maisha yake. Ndio maana wanakata rufaaa 4. Kukata rufaaa na kuomba dhamana pending appeal na kutumikia jamii ( community service) zinaweza kufanyika kwa wakati mmoja... . . Tulijitahidi kadri ya uwezo wetu na tutaendelea kujitahudi kuweka mambo sawa. Bado kuna nafasi kubwa sana ya kurekebisha kilichotokea. Hatuwezi kusema zaidi ya hapa, poleni wote mlioumiwa na kamwe hatuacha kumpigania..
 
8ef72e82b98f7d6ad43e01243d44379f.jpg


Hainingii akilini kabisa kama Hamisa anaweza kumuonea huruma Lulu to zis extent...
Ngoja nirudie kusoma.
 
@peterkibatala ameyajibu. Kasema hivi 1. Amesema kuwa hakuna hukumu tofauti inayoweza kutolewa kabla mkuhukiwa hajatumikia robo ya kufungo chake ambacho kwa Lulu itakuwa ni miezi 5. 2. Ndani ya hiyo miezi 5 dhamana inaweza kuombwa wakati wakisubiria kukata rufaaa 3. Huwezi kuacha kijana wa miaka 22 mwenye maisha marefu mbele yake apate covinction ya uhalifu. Itaharibu maisha yake. Ndio maana wanakata rufaaa 4. Kukata rufaaa na kuomba dhamana pending appeal na kutumikia jamii ( community service) zinaweza kufanyika kwa wakati mmoja... . . Tulijitahidi kadri ya uwezo wetu na tutaendelea kujitahudi kuweka mambo sawa. Bado kuna nafasi kubwa sana ya kurekebisha kilichotokea. Hatuwezi kusema zaidi ya hapa, poleni wote mlioumiwa na kamwe hatuacha kumpigania..
Naomba afanikiwe dhamana
 
Ana mpaka picha?? mi nachojua yule bwana kampora kwa mke wake na kamfanyia visa mke mwenzie mlokole fake yule. Ukiona bongo movie anajitia low key ujue kuna bwana wa mtu kamshika sasa anaogopa kumuexpose
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Ukielewa nielekeze
Ngoja nirudie kusoma.

@peterkibatala ameyajibu. Kasema hivi 1. Amesema kuwa hakuna hukumu tofauti inayoweza kutolewa kabla mkuhukiwa hajatumikia robo ya kufungo chake ambacho kwa Lulu itakuwa ni miezi 5. 2. Ndani ya hiyo miezi 5 dhamana inaweza kuombwa wakati wakisubiria kukata rufaaa 3. Huwezi kuacha kijana wa miaka 22 mwenye maisha marefu mbele yake apate covinction ya uhalifu. Itaharibu maisha yake. Ndio maana wanakata rufaaa 4. Kukata rufaaa na kuomba dhamana pending appeal na kutumikia jamii ( community service) zinaweza kufanyika kwa wakati mmoja... . . Tulijitahidi kadri ya uwezo wetu na tutaendelea kujitahudi kuweka mambo sawa. Bado kuna nafasi kubwa sana ya kurekebisha kilichotokea. Hatuwezi kusema zaidi ya hapa, poleni wote mlioumiwa na kamwe hatuacha kumpigania..
 
Kuna kipindi alifumaniwaga ujue akataka kuachwa ndo alipoitoa[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Doooh.. hivi kumbe zile story za kufumaniwa zilikuaga kweli??? basi boss wa efm kapenda kweli jamani kama mpaka kafumania na kasamehe?? shikamoo da Muna kumsaidia Lulu kumtuliza maji
 
Ila kwa mashauzi Mashallah kajaaliwa kaaah!yule Dada hapana
Aaah hamna mwenye kile kitengo bongo zaidi yake na ukichanganya ana maji ya picha tena ndo basi tena... sema tukutane live sasa kama kale kashape kanaonekanaga unabaki kushangaa mbona insta shape mashallah live waona patupu
 
Back
Top Bottom