Siamini kama Joshua amepigwa ila pesa waliyolipwa si mchezo

Siamini kama Joshua amepigwa ila pesa waliyolipwa si mchezo

Airmanula

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2016
Posts
3,527
Reaction score
5,762
Nimeangalia pambano siamini nilichokua nakiona ulingoni ilibidi niangalie chanel kama ni yenyewe na ni LIVE au ni moja ya mapambano ya Joshua ya kitambo. Kumbe ni live na jamaa alikua anakula ngumi si mchezo.. Sikutegemea Ruiz kua mkali vile. Ninavyoona hapa pambano limepangwa kabisa, this is business wazee wa boxing, boxing ya sasa ni imekaa kibiashara zaidi.. kipesa zaidi... nazimisi boxing za zamani mtu unapigwa hadi unachanika chanika uso, boxing ilikua kwa ajili ya reputation na heshima, naliona pambano la marudiano lipo njiani..watu watatu watahusika hapa..Joshua, Ruiz, na Wielder.

Anyway, Ruiz kwa sasa kwenye akaunti yake amekwishawekewa shilingi za kitanzania Bilioni 15, kwa kupigana na kushinda pambano lake MOJA TU. Joshua pamoja na kupigwa atapewa kifuta jasho cha Bilioni 52 za kitanzania kwa PAMBANO MOJA TU.

Asanteni kwa kunisikiliza.

images.jpeg
images(7).jpeg
images(3).jpeg
images(4).jpeg
images(2).jpeg
images(5).jpeg
images(1).jpeg
images(6).jpeg
 

Attachments

  • images(7).jpeg
    images(7).jpeg
    36.7 KB · Views: 43
Ushindi huu ni matokeo ya juhudi za Serikal ya awamu ya.... chini ya Uongozi thabiti wa Jemedari namba moja Mheshimiwa.........


Ruiz kama angekuwa anatokea AFRICA hahahaha au Tipwa tipwa hilo ndio angekuwa Mwakinyo wetu basi maneno ya hapo juu ndio ingekuwa Introduction ya Kila Mbunge Akianza kuongea
 
kisa AJ kapigwa basi wamefix sio?? acha uzoba, kakariri na ujuaji

ukimind poa.....ova
 
Wakal wa hizi kazi uku may weather cjui man money hakatushi?
Naomba kujuzwa
 
Every sport has it dark side mkuu. I like the way you think, yote yanawezekana (kupigwa au kupangwa kwa matokeo. If you wanna know more mjue Don King , ni moja kati ya watu waliouharibu huu mchezo.
Nimeangalia pambano siamini nilichokua nakiona ulingoni ilibidi niangalie chanel kama ni yenyewe na ni LIVE au ni moja ya mapambano ya Joshua ya kitambo. Kumbe ni live na jamaa alikua anakula ngumi si mchezo.. Sikutegemea Ruiz kua mkali vile. Ninavyoona hapa pambano limepangwa kabisa, this is business wazee wa boxing, boxing ya sasa ni imekaa kibiashara zaidi.. kipesa zaidi... nazimisi boxing za zamani mtu unapigwa hadi unachanika chanika uso, boxing ilikua kwa ajili ya reputation na heshima, naliona pambano la marudiano lipo njiani..watu watatu watahusika hapa..Joshua, Ruiz, na Wielder.

Anyway, Ruiz kwa sasa kwenye akaunti yake amekwishawekewa shilingi za kitanzania Bilioni 15, kwa kupigana na kushinda pambano lake MOJA TU. Joshua pamoja na kupigwa atapewa kifuta jasho cha Bilioni 52 za kitanzania kwa PAMBANO MOJA TU.

Asanteni kwa kunisikiliza.

View attachment 1115659View attachment 1115660View attachment 1115661View attachment 1115662View attachment 1115665View attachment 1115667View attachment 1115668View attachment 1115669
 
angeshinda yeye isingekuwa biznes?? tuache kukariri jamani
Vyote ni business tu mana hapo anatafutwa mtu wa kupigana na Wielder..wnaajaribu kuangalia kati.ya.ruiz na joshua nani ataleta pesa nyingi zaidi
 
Sio uzoba..naongea mawazo yangu...hakuna boxing siku hizi..ni biashara tu kama business zingine..
km ulimuona May pembeni huko baas kafix kila kitu.
Hakuna scammer kwenye ngumi km huyo jamaa
 
Back
Top Bottom