Ukiona mashabiki wa Simba wakilalamikia timu yao,kama una akili nzuri,utakumbuka jinsi mashabiki hao hao walivyoishangilia timu ikiwa imefungwa ama kutoa sare huku wameonesha soka bora kabisa.
Kwa sasa soka la timu limebadilika,wanacheza mpira wa malengo,na kwa hiyo kuna baadhi ya vitu watu wanavyotarajia kuviona hawataviona.
Ile kasi na pressing ya nguvu imepungua,lakini wanapata matokeo.
Soka wanalocheza Simba ni la kibrazil.Soka hili linahitaji watu wazuri wenye vipaji vikubwa mno.Watu ambao akishuti golini hatakiwi kupiga off target.Ni vigumu sana kuwa na wachezaji wengi wa jinsi hii.
Soka la kisasa ni la kasi,maarifa na nguvu.
Maarifa na nguvu peke yake vitakupa ushindi tu kwa timu unayoizidi maarifa.
Kasi husaidia kuvuruga mfumo wa kujilinda wa adui.
Simba ya sasa inashindanishwa na Simba ya zamani na siyo yanga.Ndio maana sio ajabu kusikia wakisema ile Simba ya akina Luis iliyomfunga El Ahly sasa hivi hatuioni
Kwa sasa soka la timu limebadilika,wanacheza mpira wa malengo,na kwa hiyo kuna baadhi ya vitu watu wanavyotarajia kuviona hawataviona.
Ile kasi na pressing ya nguvu imepungua,lakini wanapata matokeo.
Soka wanalocheza Simba ni la kibrazil.Soka hili linahitaji watu wazuri wenye vipaji vikubwa mno.Watu ambao akishuti golini hatakiwi kupiga off target.Ni vigumu sana kuwa na wachezaji wengi wa jinsi hii.
Soka la kisasa ni la kasi,maarifa na nguvu.
Maarifa na nguvu peke yake vitakupa ushindi tu kwa timu unayoizidi maarifa.
Kasi husaidia kuvuruga mfumo wa kujilinda wa adui.
Simba ya sasa inashindanishwa na Simba ya zamani na siyo yanga.Ndio maana sio ajabu kusikia wakisema ile Simba ya akina Luis iliyomfunga El Ahly sasa hivi hatuioni