chamaclotus
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 1,079
- 2,273
ni huzun bwana mdg cjuh anakuonaje saiz🤣Kwema wakuu,
Yaani demu wangu kanisaliti na mtu mwingine. Yaani kakaza mpaka mi ndo imebidi niombe msamaha. Dah hatari sana kwakweli
Muelekeze kabisa na anwani kamili asisahau kuandika kupitia kwa. Mwisho kabisa niione kwa file langu.Pumbavu
andika barua haraka ya kujiondoa kwenye kundi la wanaume,nasisitiza andika fasta.
hata asiandike ndo keshajiondoa hivyo hatumtaki tena!Pumbavu
andika barua haraka ya kujiondoa kwenye kundi la wanaume,nasisitiza andika fasta.
zwazwa hiloUmesalitiwa na umeomba msamaha we jamaa uko sawa kweli
Pole Sana mkuu mfate baba ako mpe hiyo taarifa alafu sikia atakwambia nini.Kwema wakuu,
Yaani demu wangu kanisaliti na mtu mwingine. Yaani kakaza mpaka mi ndo imebidi niombe msamaha. Dah hatari sana kwakweli
ni wazi kuwa HUNA AKILIKwema wakuu,
Yaani demu wangu kanisaliti na mtu mwingine. Yaani kakaza mpaka mi ndo imebidi niombe msamaha. Dah hatari sana kwakweli